haaaa,
tubadilishane mawazo, binafi nna miaka 31....
cjaoa na thina mtoto.....
tafadhali,
katika mahusiano niko makini kutumia hii njia, nakojoa shahawa zangu nje!!!
wakati nasoma, nilishawahi kuwa na gf akawa linakuja kukaa wiki kadhaa lakin hii njia ilinisaidia, haadi naachana nae cna taabu na mimba.....
yaani ilifika hatua nikifikiria kukojoa ndani naona kero, ciwez kabisa!!
anyway, itanilazmu kufanya hvo mwaka nitapopata mke wa kuoa au nikioa....
maswali!!
1. kuna wanaume wenzangu mnaitumia hii njia? ingawa naona walio wengi wanashindwa. marafiki zangu nikiwahamasisha hawataki kabisaa.
2. vp wanadada, mnajisikiaje jamaa akichomoa na kuweka maji njee.
binafsi nilijifunzia hii mikanda ya X, enzi zile nipo boys high school!!!