Na ni wanafiki kweluWala siyo uzee nadhani nchi yetu inaongoza kwa kuwa na wazee wajinga na wanafiki kuliko nchi zote duniani, ni hawa wachache tu ndiyo wanaojielewa
Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Hakuna Damu ya Kitutsi isiyo na Akili.Huyu mzee ana misimamo yake tangu kitambo sn
Ukimtoa askofu Bagoza huyu ndio mwamba na lisuNimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Kuna haja huko tunakoelekea kuwa na jitihada za makusudi kuwahimiza au pengine kuhamasisha watu kusoma katiba inayokuwepo kwa wakati huo na kuielewa kusudi tunapokuwa na viongozi walioteuliwa au waliochaguliwa wasiende kuwa court jesters. Hii ni pamoja na elimu ya uraia ili kuondoa aibu ya watu kujitoa ufahamu kwa kujidhalilisha mbele ya uma kwa kuzungumza unexpected words kama " umenitoa majalalani"Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Haya sawa KanyawelaKuna haja huko tunakoelekea kuwa na jitihada za makusudi kuwahimiza au pengine kuhamasisha watu kusoma katiba inayokuwepo kwa wakati huo na kuielewa kusudi tunapokuwa na viongozi walioteuliwa au waliochaguliwa wasiende kuwa court jesters. Hii ni pamoja na elimu ya uraia ili kuondoa aibu ya watu kujitoa ufahamu kwa kujidhalilisha mbele ya uma kwa kuzungumza unexpected words kama " umenitoa majalalani"
Yule kalamaganda kabugi hajitambui ndiyo maana aliamua kujidhalilisha kisa kumfurahisha mteuzi wake.Kuna haja huko tunakoelekea kuwa na jitihada za makusudi kuwahimiza au pengine kuhamasisha watu kusoma katiba inayokuwepo kwa wakati huo na kuielewa kusudi tunapokuwa na viongozi walioteuliwa au waliochaguliwa wasiende kuwa court jesters. Hii ni pamoja na elimu ya uraia ili kuondoa aibu ya watu kujitoa ufahamu kwa kujidhalilisha mbele ya uma kwa kuzungumza unexpected words kama " umenitoa majalalani"
Kuna kitu najiuliza sipati jibu. Wengi wakiwa kwenye nafasi za taaluma zao wanaonekana ni ma genius. Lakini wakiingia kwenye nafasi za kisiasa wanakuwa watu tofauti sijui ni kitu gani kinawasibu! Nisaidieni hapo!Yule kalamaganda kabugi hajitambui ndiyo maana aliamua kujidhalilisha kisa kumfurahisha mteuzi wake.
Kwa mujibu wa uchunguzi ni kwamba unapo jiunga na ccm basi weledi wako unaukabidhi mapokezi.Kuna kitu najiuliza sipati jibu. Wengi wakiwa kwenye nafasi za taaluma zao wanaonekana ni ma genius. Lakini wakiingia kwenye nafasi za kisiasa wanakuwa watu tofauti sijui ni kitu gani kinawasibu! Nisaidieni hapo!
ππππ
Niliwahi kuambiwa pia kuwa miaka ya nyuma ( sijui kama hadi sasa bado inaendelea) makuruta wa chuo cha Polisi siku ya kuripoti chuoni huko Moshi, wakifika getini kabla ya kuruhusiwa kuingia ndani kila mmoja alikuwa anaambiwa kuchimba kishimo kidogo na kuambiwa kuwa akili zao zote za kisomi waziweke humo na kuzifukia. Na kwamba akili zitakazokuwa zinatumika pale ni za maafande. Siku wakimaliza mafunzo ndipo watachukua akili zao walizokuwa wamezifukia na kuondoka nazo.Kwa mujibu wa uchunguzi ni kwamba unapo jiunga na ccm basi weledi wako unaukabidhi mapokezi.
Aisee hiyo ni kali ya mwaka kama kweli ipoNiliwahi kuambiwa pia kuwa miaka ya nyuma ( sijui kama hadi sasa bado inaendelea) makuruta wa chuo cha Polisi siku ya kuripoti chuoni huko Moshi, wakifika getini kabla ya kuruhusiwa kuingia ndani kila mmoja alikuwa anaambiwa kuchimba kishimo kidogo na kuambiwa kuwa akili zao zote za kisomi waziweke humo na kuzifukia. Na kwamba akili zitakazokuwa zinatumika pale ni za maafande. Siku wakimaliza mafunzo ndipo watachukua akili zao walizokuwa wamezifukia na kuondoka nazo.
Sidhani kama unamfahamu vizuri huyo dingi.ajaanza kua serious na mambo ya msingi leo.na ni mzee wa nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi.Huyu mzee ugali wake wa Gazeti la Raia Mwema ulitingishwa kidogo ndiyo maana anahaha. Wengi wanaoponda serikali ya awamu ya tano walikuwa wanafanya biashara za kanjanja kanjanja wakazinguliwa.
Nadhani wengi walisahau kuchimbua akili zao baada ya mafunzo ndio maana nchi mwendo ki afande afande.Niliwahi kuambiwa pia kuwa miaka ya nyuma ( sijui kama hadi sasa bado inaendelea) makuruta wa chuo cha Polisi siku ya kuripoti chuoni huko Moshi, wakifika getini kabla ya kuruhusiwa kuingia ndani kila mmoja alikuwa anaambiwa kuchimba kishimo kidogo na kuambiwa kuwa akili zao zote za kisomi waziweke humo na kuzifukia. Na kwamba akili zitakazokuwa zinatumika pale ni za maafande. Siku wakimaliza mafunzo ndipo watachukua akili zao walizokuwa wamezifukia na kuondoka nazo.
Kichwa majiiChadema 2025 twende na Ulimwengu.
Hapo alipomnukuhu Lissu amefanya kisomi sana. Wanaopenda kuandika na kusoma watakuwa wameappreciate sana hiyo sehemu.Hivi mzee Meko naye alikuwa na damu hiyo?