Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 5 ilikuwa ya hovyo sana.Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Kweli kabisa hebu sema mazuri sio wanasema mabaya tu.Nasubiri aseme na mazuri pia.
Kila mtu ana upande wa anaoutaka. Wapenda maendeleo tuliona mazuri tuu.
Atake asitake......Laanaturah sauti kubwaNimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Hayo mazuri yaseme wewe basiKweli kabisa hebu sema mazuri sio wanasema mabaya tu.
Alafu ukimaliza kusema mazuri kuwa ww ndg yake ben rabiu saanane au Azory Gwanda kisha uje tena kusema mazuri
Kule uganda na Rwanda kuna wazee waliokufa kabisa.Wala siyo uzee nadhani nchi yetu inaongoza kwa kuwa na wazee wajinga na wanafiki kuliko nchi zote duniani, ni hawa wachache tu ndiyo wanaojielewa
Nime joke jamaa soma uelewehayo mazuri yaseme wewe basi
Magu alikuwa mnywa damu. Hili alijichafua yeye mwenyewe na nyie mliompa kiburi cha ujinga mwisho yuko kuzimu motoni.Huyu mzee ugali wake wa Gazeti la Raia Mwema ulitingishwa kidogo ndiyo maana anahaha. Wengi wanaoponda serikali ya awamu ya tano walikuwa wanafanya biashara za kanjanja kanjanja wakazinguliwa.
😅😅😅Kweli kabisa hebu sema mazuri sio wanasema mabaya tu.
Alafu ukimaliza kusema mazuri kuwa ww ndg yake ben rabiu saanane au Azory Gwanda kisha uje tena kusema mazuri
Jitu la ovyo lilishaondoka. Acha watu wapumuemwongo saaana huyu jamaa, hakumbuki alivyo rushwa kichura na mkapa na kikwete. lijamaa fekiiiiii, ache kunywa mapombe kama mwenda wazimu, jijitu zima ovyooooooo
Una muda na polepole😅😅Wazee wa aporojo kama Ulimwengu sinaga mda nao.
Mi nina mda na watu wa kazi kazi kama JPM-R.I.P.
Mzee wa jalalani.
Siyo kweli, Magu alikuwa zawadi toka kwa Mungu.Magu alikuwa mnywa damu. Hili alijichafua yeye mwenyewe na nyie mliompa kiburi cha ujinga mwisho yuko kuzimu motoni.
labda mungu wa chatleSiyo kweli, Magu alikuwa zawadi toka kwa Mungu.
Nafananisha Uongozi wa Umma kama ujenzi wa barabara.
Huwezi kuchonga barabara bila kukata miti. Sisi tulioitaji barabara tunampongeza Magu kwa kazi nzuri Sana, Nyie wana mazingira mtamshutumu kwa uharibifu wa mazingira anghali hiyo barabara iliyochongwa mnaitumia.
ila, current hali ni tofauti, kundi linaloongoza kwa ujinga ni vijana.Wala siyo uzee nadhani nchi yetu inaongoza kwa kuwa na wazee wajinga na wanafiki kuliko nchi zote duniani, ni hawa wachache tu ndiyo wanaojielewa