Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kwa hiyo mipaka ya ushirikina ni ipi?Yaani ushirikina ambao una uwezo wa kukwepa risasi za moto unashindwa kitu kirahisi kama vile wachezaji wa timu A wafunge magoli mengi na wachezaji wa timu B washindwe kufunga magoli?!Hii inamake sense?Kila kitu kina mipaka yake
Kombe la dunia ndio uchawi mkubwa hujui wwKama ushirikina upo na huwa unafanya kazi kwa nini huwa hatuutumii kuchukua kitu kama kombe la dunia la mpira wa miguu?
Nazani utakuwa una mzungumzia yule dikiteta mwenye jinsia ya kikeHalafu kuna yule mama alisema askari "wao" hawawezi kupiga risasi 16 na kukosa kwenye kampeni😂😂
Sijui jina lake anaitwa nani yule mama. I'll nashangaa wamama wanapingana kauli zao
Sawa lakini lisihusishwe na masuala ya kishirikina.Isiyokuwasha hujailamba. Hujajua nini kilitokea mpaka zikatumika risasi zote hizo. Tungesikia story kutoka ka Askari na mashuhuda ndipo tungeweza kusema neno.
Habari zinasema kuwa fisi huyo alikuwa 'mahiri' wa kukwepa risasi, kama huu ni ukweli (alikuwa anakwepa wakati anapigwa), basi kuna uwezekano wa kumaliza risasi nyingi kabla ya risasi moja kumpata.Nilimsikiliza Msemaji wa Polisi, Mwanamama akiwa anazungumzia tukio hili kana kwamba kulikuwa na miujiza na si uzembe wa Wahusika.
Ni aibu sana kwa karne hii kama bado tuna ujinga wa kuabudu vitu ambavyo havipo....alafu hapohapo tunataka tupate Vijana wa kuleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia.
Hatuwezi kufika kokote kwa ujinga wa aina hii, na ukweli ni kwamba Askari hao hawakuwa na uwezo. Na huenda hata kwenye matukio ya Ujambazi Polisi hupoteza risasi nyingi mpaka kufanikiwa kumlenga Muhusika.
Huyo/hao Askari waliohusika kupoteza silaha zote hizo wahakikiwe uwezo wao wa kutumia silaha kwa ufanisi...huenda Askari wetu ni legelege kiasi cha kutumia silaha huku wakiwa wanatetemeka kwa kumuogopa Fisi.
Tukiendelea kuendekeza haya mambo ya kijinga tutakuza taifa la Wanaume 'Mashoga' na kutafuta visingizio. Taifa tunahitaji Wanaume wenye balls (Men with balls)
MEN WITH BALLS
View attachment 1871310
Tuna taifa lenye ujinga sana.Kama Jamii hatuwezi kukubaliana na Excuse kama hizi..., Ukishakubali hili tu utakubali lolote lile...., Mwanao kushindwa mtihani na kusema alipigwa upofu wa ghafla..., mpangaji wako kukosa rent na kusema pesa imeyeyuka ghafla..., Serikali kushindwa kutimiza ahadi na kusema kodi zote walizokusanya zimegeuka na kuwa moshi..., mlinzi wako kuacha kulinda akijua kwamba atakwambia alishangaa kapata uzingizi wa pono....
Kawaulize Australia watakwambiaKama ushirikina upo na huwa unafanya kazi kwa nini huwa hatuutumii kuchukua kitu kama kombe la dunia la mpira wa miguu?
Kwa upuuzi kama wako tutaendelea kuwaona Wazungu kama Miungu watu.wewe ni mbumbumbu sana na hauijui dunia. kalaga baho.
1000-1500Hivi risasi 1 ni bei gani jamani halafu fisi mbona sio lazima kumuwinda kwa bunduki
Asante sana[emoji736][emoji817][emoji1534][emoji1548]kuna mengi huyajui, hao askari wanakutana na mambo mengi sana, mengine hadi wao wenyewe wanaenda kwa waganga ili kutimiza. kuna majambazi mengine hata ukiyalenga risasi haziingii na yanakusogelea yakunyang'anye bunduki, utafanya nini kama sio kutoka nduki...hahaha, risasi 49 kulenga na fisi anakwepa sio kitut rahisi, ushirikina upo, kama hauamini kuna siku utakunyorosha hadi urudi hapa useme kweli upo.
Sasa kama wana intelijensia kwamba risasi hazifanyi kazi kwanini waendelee kutumia hizo risasi ? Kuna mambo ukishayakubali nusu tu ni kwamba unaingia kwenye unkown territory yaani itabidi kila kitu umeze tu (hakuna haja ya logic wala kuuliza) na tungeendelea hivyo tokea kali mpaka leo watu wangekuwa wanatolewa kafara na kuzikwa na wafalme wakiwa hai....Habari zinasema kuwa fisi huyo alikuwa 'mahiri' wa kukwepa risasi, kama huu ni ukweli (alikuwa anakwepa wakati anapigwa), basi kuna uwezekano wa kumaliza risasi nyingi kabla ya risasi moja kumpata.
Wanasema fisi huyo ni wa ushirikina, sasa kama unasema kutumia risasi zote hizo ni uzembe, basi unatakiwa useme kuwa duniani hakuna kitu kama hicho (ushirikina). Humu kuna mtu mmoja anaitwa mshana junior, tumuulize, anaweza akawa na majibu mazuri juu ya tukio hili.
Wanashindwa kutofautisha uwezo wa kulenga shabaha na Fisi kukwepa.Mashuhuda na askari wamesema fisi alikuwa anakwepa risasi! Wewe uliona wapi mnyama anayekwepa risasi? Kwa mtu mwenye utaalam kidogo tu na mambo ya bunduki na risasi atakucheka sana akisikia unasema eti fisi anaweza kukwepa risasi.
Hakuna ushirikina, ni imani zinazopandikizwa kwa watu wasiotaka kutumia akili.unafiki ni kitu kibaya sana, ina maana hujui kama ushirikina upo?
Acha kukuza mambo hapo Congo ukinunua AKA 47 unapewa na ndoo ya risasi. Tatizo linakuja askari wetu hawana ata shooting range ambazo zinakeep their skills walizonazo kwenye shabaha wakipata fursa inabidi watumie kikamilifu kama hivo.Nilimsikiliza Msemaji wa Polisi, Mwanamama akiwa anazungumzia tukio hili kana kwamba kulikuwa na miujiza na si uzembe wa Wahusika.
Ni aibu sana kwa karne hii kama bado tuna ujinga wa kuabudu vitu ambavyo havipo....alafu hapohapo tunataka tupate Vijana wa kuleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia.
Hatuwezi kufika kokote kwa ujinga wa aina hii, na ukweli ni kwamba Askari hao hawakuwa na uwezo. Na huenda hata kwenye matukio ya Ujambazi Polisi hupoteza risasi nyingi mpaka kufanikiwa kumlenga Muhusika.
Huyo/hao Askari waliohusika kupoteza silaha zote hizo wahakikiwe uwezo wao wa kutumia silaha kwa ufanisi...huenda Askari wetu ni legelege kiasi cha kutumia silaha huku wakiwa wanatetemeka kwa kumuogopa Fisi.
Tukiendelea kuendekeza haya mambo ya kijinga tutakuza taifa la Wanaume 'Mashoga' na kutafuta visingizio. Taifa tunahitaji Wanaume wenye balls (Men with balls)
MEN WITH BALLS
View attachment 1871310
Duh, kama nchi bado tuna safari ndefu sana.Hio ni true kabisa huyo fisi katokea milima ya izimbili ni wa ukoo wa mwanamalundi na isike namfahamu sana saiv yupo huku katabi katavi mizimuni kwa wanaoifahamu Tabora hilo ni Jambo la kawaida sana ni kweli walimkosa risasi zote 49 na huwa anatumika sana kumalizia kizazi pinzani cha machief
kuna mengi huyajui, hao askari wanakutana na mambo mengi sana, mengine hadi wao wenyewe wanaenda kwa waganga ili kutimiza. kuna majambazi mengine hata ukiyalenga risasi haziingii na yanakusogelea yakunyang'anye bunduki, utafanya nini kama sio kutoka nduki...hahaha, risasi 49 kulenga na fisi anakwepa sio kitut rahisi, ushirikina upo, kama hauamini kuna siku utakunyorosha hadi urudi hapa useme kweli upo.