Uzembe wa Askari kulenga shabaha na kupoteza risasi 49 unaposingiziwa ushirikina

Uzembe wa Askari kulenga shabaha na kupoteza risasi 49 unaposingiziwa ushirikina

naona mnamlaumu askari tu, km bunduki hazikuwa callibrated?
 
Mleta mada kakurupuka anashindwa kuelewa fisi alikuwa movable target na sio Target iliyotulia sehemu kwa hiyo hata ulengaji wake unakuwa na shida na inawezekana hakuwa askar mmoja labda walikuwa Kama wanne au watano

Ndio maana ikatokea hvyo risas 49 kutumika hata wew mtoa mada ukipewa silaha yenye risas 31 ulenge target inayo hama unaweza usipate hata moja kwa akil yako navyoiyona

Mahesabu ya kumlenga kitu kinachotembea Ni makubwa Sana uchez na bunduki Bali unacheza object husika

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Itakua walikunywa pombe. LGM kwenye Range ilo poa sana haina vibration kali, trigger yake lain yan unaifyatua adi raha
 
naona mnamlaumu askari tu, km bunduki hazikuwa callibrated?
Basi huyo Msemaji wa Polisi angesema na sio kutaka kuhadaa Watu wenye akili timamu kuwa Fisi alikwepa risasi.

Hivi anajua kuwa anavyoongea hapo anaitaarifu Dunia nzima na sio hao Watu wa Tabora pekee?.
 
Mleta mada kakurupuka anashindwa kuelewa fisi alikuwa movable target na sio Target iliyotulia sehemu kwa hiyo hata ulengaji wake unakuwa na shida na inawezekana hakuwa askar mmoja labda walikuwa Kama wanne au watano

Ndio maana ikatokea hvyo risas 49 kutumika hata wew mtoa mada ukipewa silaha yenye risas 31 ulenge target inayo hama unaweza usipate hata moja kwa akil yako navyoiyona

Mahesabu ya kumlenga kitu kinachotembea Ni makubwa Sana uchez na bunduki Bali unacheza object husika

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Je ni maelezo ya Msemaji yanasema hivyo au ni hisia zako? kasema Fisi alikuwa anakwepa hajasema Fisi alikuwa anakimbia.

Je wewe umemsikia huyo Msemaji mlengo wa hiyo taarifa yake? nini maana ya kusema "cha kustaajabisha Fisi alikuwa anakwepa risasi"?

Huenda binaadamu tunatofautiana kuelewa taarifa lakini Msemaji hamaanishi hicho unahohisi wewe, Yeye anamaanisha kulikuwa na 'nguvu za giza za Fisi kukwepa risasi'.

Yes, upo sahihi huenda nisingemlenga lakini si kwa Mtu maalumu aliyeaminiwa na kupewa kazi hiyo na kuaminiwa kama Askari....hivi hawana mafunzo ya kulenga shabaha kwa moving objects? kwa hiyo wewe ukipewa kazi ya kuwapima uwezo wa kulenga shabaha Askari utapokea hivyo visingizio vya kuwa Fisi anakwepa risasi na utaendelea kuwavisha nishani?.
 
Itakua walikunywa pombe. LGM kwenye Range ilo poa sana haina vibration kali, trigger yake lain yan unaifyatua adi raha
Naona kuna Watu wanatetea wasichokijua.

Hivi kweli tumtafute Ranger makini ataunga mkono hizo excuse zao kirahisi hivyo?.

Hata kama Fisi alikuwa anakimbia lakini kilichotokea ni kama walikuwa wanapambana na Ndege aliyekuwa anaruka.
 
Back
Top Bottom