Wakati unasema haya, ukumbuke kuwa mnyama huyo alikuwa ameleta maafa huko nyuma, na wala halikuwa tukio jipya. Maafa aliyoleta ni pamoja na kuuwa watu, wanyama, nk. Kuonekana tena kwa mnyama huyo, ni dhahiri kuwa alitakiwa akabiliwe kwa namna yoyote ile ilimradi auwawe.Sasa kama wana intelijensia kwamba risasi hazifanyi kazi kwanini waendelee kutumia hizo risasi ? Kuna mambo ukishayakubali nusu tu ni kwamba unaingia kwenye unkown territory yaani itabidi kila kitu umeze tu (hakuna haja ya logic wala kuuliza) na tungeendelea hivyo tokea kali mpaka leo watu wangekuwa wanatolewa kafara na kuzikwa na wafalme wakiwa hai....
Haya mambo yafanyike individually huko ila sio kwenye taasisi muhimu wala kuyafanya kama taifa...
Askari unakuta tangu atoke mafunzoni ajawahi lenga tena shabaha unazani nini tena kitatokeaTabora huko....na kila anayesimulia anahusisha na imani za kishirikina, kunzia Msemaji wa Polisi.
Inasikitisha, Taifa limeoza likiongozwa na Wanahabari wetu.
Tatizo ni hao watoa taarifa wanapojitahidi kuonesha kanakwamba hilo ni suala ni la kishirikina, hapo ndipo tatizo langu lipo.Kupiga Target inayo tembea na kukosa risas n ktu cha kawaida hata kwenye movie, ndo maana sniper akikosa risas moja huwa haendelei kukaa eneo alilochagua kukaa kwasababu anafaham atakosa risas zingine nyingi zaid na anakua kwenye hatari ya kushambuliwa yeye
Suala la fisi kuhusishwa na iman ya kishirikina hizo ni iman za watu tu kitu Cha msingi ilikua ni lazima auwawe hata ingetumika risasi 60 hicho ndo kitu Cha msingi kwakua ni fisi aliesumbua kwa muda mrefu ndo maana hawakupewa risasi 1 ili wakauwe fisi na wakapewa risasi nyingi zaid kwakua wao ndo wataalam wa mambo hayo na wanajua Kuna kukosa target hasa inayo kimbia zigzag
Hoja ya aliecomment ilikuwa ni kupingana na imani kuwa kuna miujiza ya kukabiliana na risasi.Wakati unasema haya, ukumbuke kuwa mnyama huyo alikuwa ameleta maafa huko nyuma, na wala halikuwa tukio jipya. Maafa aliyoleta ni pamoja na kuuwa watu, wanyama, nk. Kuonekana tena kwa mnyama huyo, ni dhahiri kuwa alitakiwa akabiliwe kwa namna yoyote ile ilimradi auwawe.
Hivi nikuulize ndugu yangu, ukikutana na adui (iwe mtu, mnyama, au vyovyote), na huyo adui ana nia mbaya na wewe, je, sihala moja ikifeli, basi unaacha kupambana naye na hivyo kumpa nafasi nzuri ya kukumaliza? Hapa namaanisha; katika mazingira ya huyo mnyama alivyojitokeza, je askari baada ya kumkosa kwa risasi kadhaa, wangeachana naye ili aendelee kuleta madhara?
Mimi na wewe tushukuru tu kuwa mambo haya hayajatukuta, yakikukuta ndugu yangu utatumia sihala zote zilizo jirani yako, na zikiisha, utajikuta unatumia hadi meno!
Na huwezi amini, hayo maneno niliyasikia kutoka kwa luteni wa jeshi la wananchi. Kuna uwezekano tumejaza vilaza mule!Stori za vijiweni kunogesha alkasus
wewe utakuwa ulitoka tumboni mwa mama yako kwa njia ya UPASUWAJI- NYAMAZANilimsikiliza Msemaji wa Polisi, Mwanamama akiwa anazungumzia tukio hili kana kwamba kulikuwa na miujiza na si uzembe wa Wahusika.
Ni aibu sana kwa karne hii kama bado tuna ujinga wa kuabudu vitu ambavyo havipo halafu hapohapo tunataka tupate Vijana wa kuleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia.
Hatuwezi kufika kokote kwa ujinga wa aina hii, na ukweli ni kwamba Askari hao hawakuwa na uwezo. Na huenda hata kwenye matukio ya Ujambazi Polisi hupoteza risasi nyingi mpaka kufanikiwa kumlenga Muhusika.
Huyo/hao Askari waliohusika kupoteza silaha zote hizo wahakikiwe uwezo wao wa kutumia silaha kwa ufanisi...huenda Askari wetu ni legelege kiasi cha kutumia silaha huku wakiwa wanatetemeka kwa kumuogopa Fisi.
Tukiendelea kuendekeza haya mambo ya kijinga tutakuza taifa la Wanaume 'Mashoga' na kutafuta visingizio. Taifa tunahitaji Wanaume wenye balls (Men with balls)
MEN WITH BALLS
View attachment 1871310
View attachment 1871501
Haya wote tujifanye ni wajinga tukubali ni ushirikina. Sasa ilikuwaje hiyo moja ikampata baada ya kukwepa nyingine zote? Huo ushirikina unachagua risasi ipi isipate shabaha na ipi ipate shabaha? Hii nchi imani za ushirikina kila kona. Ndiyo maana kina Gwajima wanapata sadaka kwa wingi mpaka wanakuwa matajiri kwa sababu zinapelekwa na watu wanaodhani wakienda huko kanisani hawatalogwa.Tuna taifa lenye ujinga sana.
Na wenye akili wanajua ku take advantage....ndio yale ya kuambiwa Pesa za Vikoba zimebenwa na chuma ulete.
Taifa linahitaji tiba hili...taifa limejaa ujinga.
Alikudanganya Sila SMG moja inauzwa 5M ambayo ni mpya kabisa.Niliwahi kusikia risasi moja mpaka kufika store ya jeshi, inagharimu 150k za kitanzania. Sina uhakika, na siwezi kuthibitisha!
Kuna mengi huyajui, hao askari wanakutana na mambo mengi sana, mengine hadi wao wenyewe wanaenda kwa waganga ili kutimiza. kuna majambazi mengine hata ukiyalenga risasi haziingii na yanakusogelea yakunyang'anye bunduki,
Utafanya nini kama sio kutoka nduki...hahaha, risasi 49 kulenga na fisi anakwepa sio kitut rahisi, ushirikina upo, kama hauamini kuna siku utakunyorosha hadi urudi hapa useme kweli upo.
Na kwanini hutaki kuamini kuwa inawezekana askari hao hawana shabaha? Si unajuwa kuna wale wakali wa shabaha (masnaipaz) na wengine hawajafikia huko, nawengine pengine mimi na wewe ndo hatujui kabisaa..!!Kuna mengi huyajui, hao askari wanakutana na mambo mengi sana, mengine hadi wao wenyewe wanaenda kwa waganga ili kutimiza. kuna majambazi mengine hata ukiyalenga risasi haziingii na yanakusogelea yakunyang'anye bunduki,
Utafanya nini kama sio kutoka nduki...hahaha, risasi 49 kulenga na fisi anakwepa sio kitut rahisi, ushirikina upo, kama hauamini kuna siku utakunyorosha hadi urudi hapa useme kweli upo.
Mwenzio kasema bei ya risasi wewe unasema kadanganywa lakini unataja bei ya SMG.. Dah..!!Alikudanganya Sila SMG moja inauzwa 5M ambayo ni mpya kabisa.
Ahahahahahaha labda ushirikina uliekispayaa...!!!Haya wote tujifanye ni wajinga tukubali ni ushirikina. Sasa ilikuwaje hiyo moja ikampata baada ya kukwepa nyingine zote? Huo ushirikina unachagua risasi ipi isipate shabaha na ipi ipate shabaha? Hii nchi imani za ushirikina kila kona. Ndiyo maana kina Gwajima wanapata sadaka kwa wingi mpaka wanakuwa matajiri kwa sababu zinapelekwa na watu wanaodhani wakienda huko kanisani hawatalogwa.
Hawa ndio watumishi wanaoapata nafasi kwa kubebwa na ndugu,au kufoji,huyu hata kuongea Kwake,unaona kabisa hana weredi,anaongea kama mtu aliyeishia darasa la saba,yaani anatuletea story za kinjekitile ngwale,risasi kuwa maji!fisi anakwepaje risasi?!ishu ni kuwa hakukuwa na Askali wanaojua kulenga shabaa,Askali wetu wanajua mikwala ya Kutishia Raia,kubambikizia watu kesi,Nilimsikiliza Msemaji wa Polisi, Mwanamama akiwa anazungumzia tukio hili kana kwamba kulikuwa na miujiza na si uzembe wa Wahusika.
Ni aibu sana kwa karne hii kama bado tuna ujinga wa kuabudu vitu ambavyo havipo halafu hapohapo tunataka tupate Vijana wa kuleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia.
Hatuwezi kufika kokote kwa ujinga wa aina hii, na ukweli ni kwamba Askari hao hawakuwa na uwezo. Na huenda hata kwenye matukio ya Ujambazi Polisi hupoteza risasi nyingi mpaka kufanikiwa kumlenga Muhusika.
Huyo/hao Askari waliohusika kupoteza silaha zote hizo wahakikiwe uwezo wao wa kutumia silaha kwa ufanisi...huenda Askari wetu ni legelege kiasi cha kutumia silaha huku wakiwa wanatetemeka kwa kumuogopa Fisi.
Tukiendelea kuendekeza haya mambo ya kijinga tutakuza taifa la Wanaume 'Mashoga' na kutafuta visingizio. Taifa tunahitaji Wanaume wenye balls (Men with balls)
MEN WITH BALLS
View attachment 1871310
View attachment 1871501
Mama WanuHalafu kuna yule mama alisema askari "wao" hawawezi kupiga risasi 16 na kukosa kwenye kampeni😂😂
Sijui jina lake anaitwa nani yule mama. I'll nashangaa wamama wanapingana kauli zao
Kuhusu kubeba silaha ya aina gani au silaha ngapi na risasi ngapi si suala la kuumiza kichwa sana kwani lengo kuu ni kwenda kuimaliza hatari kadri itakavyowezekana.Kuna vitu Kama mtanzania lazima ujifumze kufikiria Yan kujiuliza maswali ya msingi.
1. Kasha la kuhifadhi risasi kwenye bunduki huwa Lina risasi ngapi?
2. Askari polisi/wanyama pori anapowewa silaha huwa anapewa na risasi ngapi?
3. N Askari wangapi walienda au walitumwa kwenda kurudisha utulivu baada ya janga la fisi kutokea?
4. Je kwa tukio la fisi kushambulia kulikuwa na ulazima kwenda na risasi zaidi ya 20
Tembea uone Kuna siku utaelewaWanashindwa kutofautisha uwezo wa kulenga shabaha na Fisi kukwepa.
Ni kwa kuwa kila aliyekuwepo pale alikuwa na mawazo ya kishirikina...lakini tafsiri sahihi ule ni uzembe na uwezo mdogo wa Askari.