Mleta mada kakurupuka anashindwa kuelewa fisi alikuwa movable target na sio Target iliyotulia sehemu kwa hiyo hata ulengaji wake unakuwa na shida na inawezekana hakuwa askar mmoja labda walikuwa Kama wanne au watano
Ndio maana ikatokea hvyo risas 49 kutumika hata wew mtoa mada ukipewa silaha yenye risas 31 ulenge target inayo hama unaweza usipate hata moja kwa akil yako navyoiyona
Mahesabu ya kumlenga kitu kinachotembea Ni makubwa Sana uchez na bunduki Bali unacheza object husika
Sent from my TECNO B1 using
JamiiForums mobile app