DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
CCM ni hatari mno...R.I.P Bwana Shamba aisee
 
Si rahisi kihivyo,angekufa wakati anafanyowa upasuaji namama yake ingekuwa msala
Ila kufa bila kupatiwa huduma na yupo hospitali kwa siku mbili sio msala?

Linapokuja jambo la kuokoa maidha ni bora kufanya kuliko kutofanya kabisa.
 
Mimi sio Dr ila naomba nikuulize. Utumbo kujikunja ndio intestinal obstruction au intestinal volvulus( which is medical emergency)?
Humu jeifu kila mtu si huwa tu anajiandikia, jamaa ukute katoka zake google akaja kuleta critics humu, haha
 
Hahah pole sana mkuu na tuliza mshono.
 
Huyo hakuwa na IO, acheni ujuaji bhn madaktari wa jeifu.
 
Halafu Dk mwenzao
Napata picha mwl mimi,ningeshushuliwa nijute
Hii ndo Tanzania
Kila mtu anashangaa mpk Rais
Ila kiukwelii tunahitaji Gen Z
Tanzania haihitaji Gen z inahitaji watu wenye awareness kubwa na wàtu waliotayari hao Genz kwani Tz hawapo ? Si wapo
 
Rushwa ni mbaya sana. Mtu unaweza kufa hivihivi kumbe mtaka rushwa anakuzungusha ili umpe hela na wewe huelewi kama anataka hela..
 
Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams

Sasa wadogo zanguuuu......

Kama mwenzetu amekufa kwa uzembe, kwa nini mnasema BWANA AMETOA BWANA AMETWAA ??????????

Masikini ya Mungu, elimu, utamaduni, vichwa, upeo, na ma imani ya sisi watu wa the third world!
 
Kwanza pole kwa familia. Kuna watu hawataona uhusiano wa CCM na serikali yake na hili tukio lakini ukweli ni kuwa vina uhusiano. Tunarudi pale pale, utasema mimi sihusiki na siasa lakini madhara ya uongozi mbovu yanatupata wote.
Ukiona mtu anasema hajihusishi na siasa jua ni kichaa...Siasa ndo maisha yetu imebeba maono na muelekeo kwenye utafutaji wetu na afya za wenzwtu nk.

Mwisho CCM itakuja kutoa rambi rambi kisha ikamsifia Rais ndo kitu wanachowez
 
Hili ni funzo kwa mama dakitari na madakitari wenzake kuwa malalamishi yetu kuhusu uzembe wa madakitari ni wa kweli.
 
Hii serikali ipo radhi kununua magari ya kumwagia maji washa upinzani kuliko kuajiri madaktari ambao wamejaa mitaani hawana ajira rasmi.
 
Ina uma sana pole kwa wote kwa msiba.
Tatizo ni mifumo labda Mungu alitaka kumuonesha huyo Daktari kwamba hii ajira ya kuhudumia watu ukiifanya vibaya kwa watu usio wajua pia ipo siku hata wewe yatakukuta.
Vijana wengi walipokuwa wanatafuta ajira wanakuwa wapole wakipata kazi wanatufanyia mambo ya ajabu na kusahau kwamba nao wana ndugu zao wanaoweza kukutana na kadhia kama hiyo kwa mfano mimi kila nikienda hospitali hawa jamaa wanavyokunyanyapaa utadhani wao na familia zao huwa hawaumwi, nikienda Polisi wanavyo nipokea kama vile kutafuta haki ni kosa na ni usumbufu kwao,nikienda Ardhi watumishi wao wamekaa mkao wa kuomba rushwa sijui tatizo ni nini? Mifumo yote hii ili ikae sawa kuna haja ya watu wa haki za binadamu wachukue likizo kidogo watuachie tu deal nao kwanza ala wakishika adabu warudi kutetea haki.
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Siku 2 anafanya caesarian sections.
 
Umasikini na uzembe = kifo


Laki nane , mgelipa tu cheap is expensive

Inaumiza sana
 
Inauma sana, mama mzazi kwa kushuhudia kifo cha mwanaye kutokana na uzembe wa hospitali itakabaki kuwa kumbukumbu mbaya kwake.
Hii fani ya udaktari imeingiliwa na watu wasiokuwa na wito, wasiofuata tena maadili ya hii huduma.
Inasikitisha..!
 
natamani nikuone sura yako nijue kama inafanania na haya maandishi uliyoandika......
btw ni maoni yako pia sio dhambi kutoa maoni yako
 
Hivi ni moja kati ya madudu mengi yanatokea Afrika kwa sababu ya kuwa chini ya tawala zinazojali madaraka na sio uongozi...
 
Kwanza pole kwa familia. Kuna watu hawataona uhusiano wa CCM na serikali yake na hili tukio lakini ukweli ni kuwa vina uhusiano. Tunarudi pale pale, utasema mimi sihusiki na siasa lakini madhara ya uongozi mbovu yanatupata wote.
Umesema ukweli kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…