Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ni ule wa Jason Bourne? a.k.a Hamida?How i met my wife Chaliifrancisco umeipitia hii?
Kama ni hiyo niliisoma na ile ya jamaa anaitwa Kigakoyo/Kigayoko pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ule wa Jason Bourne? a.k.a Hamida?How i met my wife Chaliifrancisco umeipitia hii?
yap ni hizo, wali Tisha Sana.Ni ule wa Jason Bourne? a.k.a Hamida?
Kama ni hiyo niliisoma na ile ya jamaa anaitwa Kigakoyo/Kigayoko pia.
Pascal Mayalla Physic power ni nguvu za kufanya miujiza na wengi Wana "Upo Jamii intelligent"Habari wakuu
Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma.
Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na ulitamani wengine wapate nasaha ya kuusoma pia.
Mimi binafsi ni huu:-
Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6. Mamlaka ya chakula na dawa 7. SSRA 8. NSSF/PSSSF 9. BOT 9. Bunge 9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali...www.jamiiforums.com
Karibu.
Yeah hizo story nilisoma maana zilikuwa zinavutia halafu ni real stories, siku hizi kufuatilia hizi za itaendelea siwezi tena.yap ni hizo, wali Tisha Sana.
kasome za j Bourne anazo nyingine pia.Yeah hizo story nilisoma maana zilikuwa zinavutia halafu ni real stories, siku hizi kufuatilia hizi za itaendelea siwezi tena.
Kwasasa sitaweza, nimekuwa mvivu wa kusoma ila nikipata muda nitafanya hivyokasome za j Bourne anazo nyingine pia.
Mimi nasoma muda wowote, ila naelewa hapo kwenye kuwa mvivu.Kwasasa sitaweza, nimekuwa mvivu wa kusoma ila nikipata muda nitafanya hivyo
Asante Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?Pascal Mayalla Physic power ni nguvu za kufanya miujiza na wengi Wana "Upo Jamii intelligent"
Sijauona mkuu wangu nimekaa hapa nausubiri nianze nao sikuUzi nilio kutag Ume uona?, how I met my wife ulisha usoma?
Ahsante kaka. Karibu sana.Mimi nimesoma nyingi
Kuna ule wa wauza mabeseni kama kazi aseeh ule Uzi sichoki.....
Kuna kisa Cha Jack Daniel @Patricck Hovering na huyu INSIDER MAN
wengine sikumbuk sana lakini napata experience tamu sana!
Familia 👊Ahsante kaka. Karibu sana.
Nitag huko nikasome 😂😂😂Kuna ule wa kusali kingereza😂🤣
SawaNitag huko nikasome 😂😂😂
Nkipata muda ntaweka kambi apaSimulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro
Mkuu kwanini usiisome habari yote? Watu wametoa pesa zao. smarte_r kauliza vizuri tu tena huenda kaisoma hii story ya mwaka 2018 na kuielewa kwani mwaka huo Kigwangala alitoa Offer kibao na kuchota ndio ,aama ka,uuliza mleta Mada) H Kigwangala akiwa Wizara ya Maliasili alibuni Project akachota...www.jamiiforums.com
Ni miongoni mwa nyuzi nilizowahi soma na kuzielewa sana. Mwandishi kaandika kwa umaridadi sana pia kaeleza madhila alopitia. Aliponikosha ni pale alipopitia magumu hasa baridi kali na kuwaza kuwa nn kimempeleka kule ilihal nyumban kunamazingira mazur ya joto
Mzuri sanaaa.Nkipata muda ntaweka kambi apa