Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Naomba namb zako z cm boss
 
Habari..mm naomba niunganishwe na wafanyabiashara,viwanda au makampuni yanayotumia vitabu kwani najihusisha na Ku print na Ku bind Vitabu mbalimbali km invoice,delivery,receipt book,petty cash na vingine..tupo k.koo 0766 597 157
 
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.


Tuchamkie Fursa
 
mimi ni fundi magari nafanya diagnosis kwa kutumia kifaa cha kisasa pia natengeneza mifumo ya umeme na mechanics kiujumla nipo Mlimani City karibu kwa huduma bora pia nafika popote ulipo
 
Asante
Nimepata mwangaza
 
Habari wakuu.
Kwa anayehitaji designing ya mabango,logo,posters,happy birthday nk. All in graphics and design nicheki tufanye kazi kwa bei poa.
 
Wakuu nahitaji kazi ya ulinzi ,
Nimehitimu kidato cha nne,
Nina uwezo wakuzungumza Kiswahili pia kiingereza.
Nimepitia mafunzo mbalimbali pamoja na kupata elimu ya customer care, risks assessment n.k
Haswa makampuni ya ulinzi na yaliyosajiliwa kisheria na hayasumbui kwenye mishahara.
Nina udhoefu kwa miaka mitatu, na nimepitia mgambo pia urefu wangu ni 5.57.
Mawasiliano Yangu 0742186254
 
Tupeane michongo
Tupeane michongo


Ndugu yetu anahitaji mchongo katika kampuni ya ulinzi na auzoefu katika fani hiyo pia castumer care + risks assessment.
Uzoefu anao wa miaka 3


Tupeane michongo
 
Kesho Kuna kaziii ya zege wanahitajika watu kama 12 hviii naniii yupo tayari wanazengo

Mchongo kwa hewa location boko na bunju dar es salaam washtue wanaaa mchongo umetimba tayariii kwa ajiri ya kesho wadau

#mchongo updated

stoplight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…