De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
-
- #21
Naam kumaliza kuwa mishe hiyo au mchongo bhas uwe halali ili apate kujikwamua kimaisha na mkono uendee kinywani..Nipeni mchongo ndugu zangu nipo juu ya vigogo sina mchongo mishe yeyote sehemu yeyote nafanya ilimradi mkono uende kinywani
Mkuu lim paper used sh ngP kwa kilo unauza?
Container moja nakuendelea......Mkuu lim paper used sh ngP kwa kilo unauza?
Site haionekani mkuuKwa ambaye hata jali kuna site nimeianzisha ni mpya ambayo nategemea pia kuitangaza kupitia social networks kwa kurun ads.Site hii nimeitengeneza kwaajili ya watu kupeana michongo,kivipi?
Ni site ambayo unajisajili bure kisha unaandika huduma/service unayoitoa na kujaza details zote muhimu.Kwahyo mtu yeyeote ambaye anashida na huduma/utaalamu kama huo ataweza kuona na kisha kufanya mawasiliano nawewe mhusika.Site hiyo iko chini hapa
site ni sautipesa.comSite haionekani mkuu
Sawasite ni sautipesa.com
Wataalamu wa mamb tusaidieni swala hiliGood kwa mfano mm nina ng'ombe 300 nataka niwaingize sokoni
Anashahada ya UHASIBU amehitimu 2018..Wakuu habarini
Nimehitimu shahada ya uhasibu ifm 2018 ,Naombeni msaada wakuu connection sina nimehangaika sana kutafuta kazi
Usiwaze ikiwepo tutajuzanaKaribu kiongozi.
Tupeane michongo
Kuwa serious mkuu, wako wapi hao ngombeGood kwa mfano mm nina ng'ombe 300 nataka niwaingize sokoni
Pamoja sanaUsiwaze ikiwepo tutajuzana
hamna na za kiswahili mkuu?Mawazo mazuri! Kama kuna kijana/vijana graduates ktk Mass Communication/Journalism na wana excellent command ya english language naomba wanicheki Inbox! Kuna fursa ya kuandaa “Articles” mbalimbali kwa lugha ya kiingereza! Karibuni.
Daah , Nashukuru Sana mkuu Mungu azidi kukubariki endelea kunisupport nipate japo nipate ata sehemu ya kujitolea maana mtaani kungumu sanaAnashahada ya UHASIBU amehitimu 2018..
Na anaendelea kuhangaika kutafuta kazi.
Kama kuna mwenye mchongo wa Uhasibu bhasi ampe mchongo ndugu ili aweze kusongesha maisha yake..
Pia unaweza mshauri nini afanye au njia gani atumie ili kupata mchongo...
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
Nimeona tangazo la kazi kutoka sua wantaka mtaalam wa mifugoMtaalam wa mifugo kutoka Sua connection jaman[emoji120]