Mjuzi Wenu
Senior Member
- Nov 18, 2017
- 108
- 108
Hujasema unapatikana wapi, na wapi unaweza fanya kazi kama ikipatikanaWanazengo me ni fundi umeme wa magari connection iwe binafs au company au garage yenye kazi za kutosha poa maana nina uwezo wa kupiga kazi 24hrs uzoefu wangu over 5 yrs ndani ya umeme wa magri popote nafanya kazi ndgu zang kwa sasa naishi bunju dar es salaam
Mkuu upo mkoa gani?Good kwa mfano mm nina ng'ombe 300 nataka niwaingize sokoni
Binafsi nahitaji watu wa kushirikiana nao kufanya matangazo yaani wawe kama mawakala wa kuuza viwanja.Habari nimeamua kuadika uzi huu kwa lengo la kusaidiana hasa kwa wale pata shida kwa kukosa ajira na kuishi kulimbikiza stress kichwa na wakti mwingine kufikia kujiwazia mabaya katika maisha yao.
Hivyo bhasi niombe wanzengo kama kuna mwenye mchongo wowote ilhali ni salama na usio kinyume sheria unaweza share ili kusaidia jamii yetu.
Lengo ni kujikwamu kimaisha.
Pia unaweza share mchongo+
Ushauri
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
#Tupeane Michongo.
hamna na za kiswahili mkuu?
Mungu yupo nasi connection itajitokezaMtaalam wa mifugo kutoka Sua connection jaman[emoji120]
Tupeane michongokwa wale mafundi ujenzi saidia fundi tupo humu kama kuna site tujuzane wakuu
pia kama kuna kazi yeyote ya kibarua nipo tayali kufanya mkuu muimu mkono uende kinywani
Naam atakuja kujibu apate mchongo..Hujasema unapatikana wapi, na wapi unaweza fanya kazi kama ikipatikana
KaribuHuu uzi itakua bomba wahusika mkanifuta kwangu [emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Ni share mkuu link hapa..?
Karibu
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Hujambo?Connection kama connection
Uko mkoa gankwa wale mafundi ujenzi saidia fundi tupo humu kama kuna site tujuzane wakuu
pia kama kuna kazi yeyote ya kibarua nipo tayali kufanya mkuu muimu mkono uende kinywani
Wenye mchongo huu wamsaidie..Nahusika na multmedia..naweza kufanya kazi radio,tv,stationary,night club or lounge
Pia mambo ya computer ..website,social nets,repair,software n.k
Nahitaji mchongo
Tupeane michongoHujambo?
Asilimia 93.731% ya wanaoomba connection kwenye huu uzi ni rank tatu tu.. New Member, Member na Senior Member.
Roho wa Bwana kuna kitu ananiambia.. Something should be done urgently.
Injection @ work..
KIRANJA MKUU