Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Hujasema unapatikana wapi, na wapi unaweza fanya kazi kama ikipatikana
 
Binafsi nahitaji watu wa kushirikiana nao kufanya matangazo yaani wawe kama mawakala wa kuuza viwanja.

Kwasasa tuna miradi Vikindu, kisemvule na baadhi ya maeneo ya Mkuranga.

Wakala atalipwa kwa kila mteja atayemleta na kununua.

Kwa maelezo zaidi nicheck PM
 
Ndugu zangu ndugu yenu sina mishe ila ujuzi wangu ni dereva leseni yangu C,1 naendesha gari yeyote ila hata kukaa kushoto nipo tayari nipeni mchongo ndugu zangu ikitokea kama mwenye canter au Isuzu tani 3 au 3na nusu kazi hii na uzoefu nao hata kama nilete kipande kwa wiki tukikubaliana naleta .najua humu kuna watu mbalimbali naombeni nipeni connection
 
Karibu

Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
Hujambo?

Asilimia 93.731% ya wanaoomba connection kwenye huu uzi ni rank tatu tu.. New Member, Member na Senior Member.

Roho wa Bwana kuna kitu ananiambia.. Something should be done urgently.

Injection @ work..

KIRANJA MKUU
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…