De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
-
- #161
Shukran sana kwa mchango wako.Nimeweka uzi natafuta meli mbovu kubwa na ndogo
Meli ziwe zile mbovu kabisa zisizotengenezeka au hata matishali.. The best ndani ya nchi ukubwa wowote sawa nachukuaShukran sana kwa mchango wako.
Kwa ufafanuzi zaidi je meli hizo ziwe aina yoyote ile ilimradi iwe meli..[emoji120]
Na je kwa maeneo gan hata nje ya nchi unachukua?
Asante
Tuendelee kupeana michongo
Ng'ombe mmoja unauzaje mkuu? Wana ukubwa gani hao? Na unapatikana wapi? Ni mcheki pm tuongee vizuri mkuu..Good kwa mfano mm nina ng'ombe 300 nataka niwaingize sokoni
Naihitaji hii mkuuNani yupo tayari kuingia Mkoa kuchimba madini. Kuna dili wanahitajika vijana 27.
Nguvu uwe nazo na speed ya kazi
Naihitaji hii mkuuNani yupo tayari kuingia Mkoa kuchimba madini. Kuna dili wanahitajika vijana 27.
Nguvu uwe nazo na speed ya kazi
Mkuu fungus pm tufanye biashara.Good kwa mfano mm nina ng'ombe 300 nataka niwaingize sokoni
Ni mkoa gani mkuu? Vip kuhusu makazi, kula, ni kazi yenye mshahara au kibarua na malipo yake yakoje ..funguka zaidi mkuuNani yupo tayari kuingia Mkoa kuchimba madini. Kuna dili wanahitajika vijana 27.
Nguvu uwe nazo na speed ya kazi
OkMkuu fungus pm tufanye biashara.
Mkuu nipe connection naweza kupika japo sijasomea.Kama kuna mtu amesomea upishi au anauzoefu na upishi,kuna kazi ya upishi kwenye hotel awe dar..anicheki pm
Huyu itakuwa anakula na kukaa nyumbani kwao mkuu.Yaani mtu ndo kwanza anatafuta pesa kwa ajili ya kuweka mdomo kinywani, unakuja kumueleza mambo ya crypto
Huyu itakuwa anakula na kukaa nyumbani kwao mkuu.Yaani mtu ndo kwanza anatafuta pesa kwa ajili ya kuweka mdomo kinywani, unakuja kumueleza mambo ya crypto
Sawa kabisaMeli ziwe zile mbovu kabisa zisizotengenezeka au hata matishali.. The best ndani ya nchi ukubwa wowote sawa nachukua
Yupo njian kukujibuNi mkoa gani mkuu? Vip kuhusu makazi, kula, ni kazi yenye mshahara au kibarua na malipo yake yakoje ..funguka zaidi mkuu
Shukran kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.Wakuu kuna fursa hapa,zinahitajika tani 100 za ufuta mweupe na kwa bei nzuri utanunuliwa.DM iko wazi kwa wahusika.
ANGALIZO:UWE SERIOUS NA BIASHARA.
Anahitaji mchongo ndugu yetu..Nina shahada ya kwanza ya Electronics and Telecommunications.
Nina ujuzi pia wa troubleshooting electrical and electronic systems.
Nina ujuzi pia wa networking na namiliki vyeti kadhaa vya kitaalamu.
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Mchongo ni huu..
Wakuu kuna fursa hapa,zinahitajika tani 100 za ufuta mweupe na kwa bei nzuri utanunuliwa.DM iko wazi kwa wahusika.
ANGALIZO:UWE SERIOUS NA BIASHARA.
Upo wapNatafuta wauzaji wa reja reja wa dagaa wa nyasa, nauza kwa jumla.
0743123946