Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

kuna uhitaji wa nafasi ya receptionist , hasa kwa jinsi ya kike maeneo ya dar es salaam... upanga dar free market (pm kwa mwenye uhitaji) au mawasiliano zaidi 0765811084
 
Mungu ndiye mwenye michongo kwaajili yako, na Anapatikana hapo hapo ulipo.

Nikufundishe jinsi ya kukutana nae?
Ameen. Itakuwa vyema zaidi kwa manufaa ya wanaosoma uzi huu kwahy karibu na utupe mchongo au njian ya kupata mchongo ilimradi inaweza saidia ndugu zetu jamaa zetu kupata michongo wakaweza kuendesha maisha..
Ili kuepukana na wakat mwingine kufikia hata kujiwazia vibaya kutaka hata kujiua kwa kuona maisha magumu kwa kujiwekea kichwan mawazo ya kishetan..

Karibu mtumishi wa Mungu yawezekana uwepo wako katika uzi huu ukabadili maisha ya moja wetu humu na akaja kutoa ushughuda humu..


Karibu sana.



Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
kuna uhitaji wa nafasi ya receptionist , hasa kwa jinsi ya kike maeneo ya dar es salaam... upanga dar free market (pm kwa mwenye uhitaji)
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.


Ndugu mwenye uhitaji wa mchongo ili kukimu maisha yako bhasi ni huu kama upo na unahitaji..

Kigezo
Jinsia ya kike itapewa kipaumbele
Hivyo fursa hii..
 
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.


Ndugu mwenye uhitaji wa mchongo ili kukimu maisha yako bhasi ni huu kama upo na unahitaji..

Kigezo
Jinsia ya kike itapewa kipaumbele
Hivyo fursa hii..
asante ...na uhitaji ni wa kweli kama una mdogo wako au ndugu jamam na rafiki tusaidiane
 
Nahitaji mfanyakazi wa ndani,awe na jinsia ya kike,umri kati ya miaka 18-40 atakula na kulala kwangu,in case of emergency kama ataugua nitagharimia matibabu mimi,kuna issues kama za sikukuu ama mapumziko nitagharimia mimi,location ni Arusha mjini
 
Nahitaji mfanyakazi wa ndani,awe na jinsia ya kike,umri kati ya miaka 18-40 atakula na kulala kwangu,in case of emergency kama ataugua nitagharimia matibabu mimi,kuna issues kama za sikukuu ama mapumziko nitagharimia mimi,location ni Arusha mjini
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo naiman kuna ambaye anatufaika na mchongo huu..



Kama kuna ndugu jamaa anahitaj mchongo huu basi amshtue ili ajikwamue kimaisha [emoji120]
 
Mkuu habari yako ninandugu yangu yupo Ni jinsia ya kike naomba mawasiliano yako Kama hutojali nimuunganishe mchongo huu Asante
@Lee Lee

Salama ndugu Maandiko mcheki huyu ndio mwenye mchongo..[emoji115][emoji115]



TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO..
TUPEANE MICHONGO
 
Back
Top Bottom