De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
- #81
Watakuja wenye michongoTegemea simu zisizokua na idadi ujichagulie mwenye vigezo bora, ukitokea mchongo wa General Manager,F&B manager tafadhali tujuzane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja wenye michongoTegemea simu zisizokua na idadi ujichagulie mwenye vigezo bora, ukitokea mchongo wa General Manager,F&B manager tafadhali tujuzane
Mkuu vyema na kuweka mawasiliano.Wakuu habari,kuna mchongo wa kazi ya kufagia barabara,mwanza maeneo ya buswelu,kampuni ya usafi..kwa anahitaji anicheki
Nasikilizia mkuuWatakuja wenye michongo
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo.Wakuu habari,kuna mchongo wa kazi ya kufagia barabara,mwanza maeneo ya buswelu,kampuni ya usafi..kwa anahitaji anicheki
Kama hatojali ili iwe rahisi kwa wahitajiMkuu vyema na kuweka mawasiliano.
Safi sana, nakuja bebekuna uhitaji wa nafasi ya receptionist , hasa kwa jinsi ya kike maeneo ya dar es salaam... upanga dar free market (pm kwa mwenye uhitaji) au mawasiliano zaidi 0765811084
Utatupa mrejeshoSafi sana, nakuja bebe
Tupeane michongotupeane michongo
tupeane michongo
Shukran kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo.Nani yupo tayari kuingia Mkoa kuchimba madini. Kuna dili wanahitajika vijana 27.
Nguvu uwe nazo na speed ya kazi
Tuko tayari mnaomba mawasiliano yakoNani yupo tayari kuingia Mkoa kuchimba madini. Kuna dili wanahitajika vijana 27.
Nguvu uwe nazo na speed ya kazi
Michoro ya 3D tuu haijitoshelezi Mkuu..Naitaji kijana mwenye ujuzi wa kuandaa michoro ya 3D asiwe mwajiriwa sehemu yeyote na awe teyari kufanya kazi ktk ofisi yetu.
AsanteMichoro ya 3D tuu haijitoshelezi Mkuu..
Architectural/ Mechanical/ Electrical au.....?
Weka wazi ni upande gani hasa unahitaji na ofisi zenu zipo MKOA gani au sehemu gani hasa ili iwe rahisi kwa walengwa kusogelea fursa.
Kuna kazi zimetangazwa ajira portal km unavyo vigezo nenda kaapplyTupeane mchongo
Tupeane mchongo
Naitwa rajabu napatikana tegeta kwa ndevu
Mm ni dereva natafuta kazi
Pia nina akaunti uber na bolt kama naweza pata gari ya mkataba au hesabu ntashukuru
Mawasiliano 0656539177
Asanteni
Tupeane mchongo
Tupeane mchongo