Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

[emoji91][emoji91][emoji91] FURSA[emoji91][emoji91][emoji91]
HAINA KIINGILIO NI BURE KABISA!!!
Jisajili bure na rahisi kabisa kupitia link hii[emoji1313]


GRAMFREE ni nini? Gramfree ni platform ambayo inakuwezesha kuingiza pesa kupitia simu yako ukiwa mahala popote.

Hii GRAMFREE inapatikana dunia nzima kwa nchi zote duniani pia kwa bara la afrika haina muda sana tangu kuingia kwake na njia za kuingiza pesa ni rahisi.

JINSI YA KUJIUNGA*

BONYEZA HII LINK[emoji116][emoji116][emoji3590]


Kisha utajiunga kwa kutumia email na account yako itakuwa iko active bila gharama zozote
NOTE
Kujiunga ni bureeeee

[emoji419]NJIA ZA KUJIINGIZIA PESA...

[emoji2389] Kualika rafiki
--->> Kila rafiki utakayemualika utalipwa Gram-3

Na Gram 1=3+dollar.

[emoji2390] Kutazama video youtube
--->> Kila video utakayoitazama utalipwa Gram 0.1

[emoji2391] Ku Roll namba ya bahati
--->> Hapa unabahatisha namba yako ya bati na unaweza kushinda kuanzia Gram 0.1-100
Na una Roll kila baada ya saa moja yaani ( kila baada ya dakika 60) ni bure

[emoji2392]Ukaguzi wa video ulioidhinishwa gram - 10

[emoji2393]Kucheza bahati nasibu gram-2

[emoji2394]Ukitaka kuingia level ya 2d utalipwa gram-10
hii ni kama bonus.

Hii inalipa kwa asilimia 100% ni legit kabisa na haina ghalama zozote wanaitumia duniani kote.[emoji289]

Kujiunga bonyeza link hii

BONYEZA HII LINK[emoji116][emoji116][emoji116][emoji3590][emoji91]


Kama una shida yoyote nicheki WhatsApp 0629894418
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Urgent Hiring!!

An upcoming mid-scale hotel in Dar es Salaam is looking to hire below positions,

1. Sales Executive / Asst. Sales Manager
2. Asst. Sous Chef / Sous Chef
3. Asst. F&B Manager
4. Asst. Front Office & Reservations Manager
5. HK Supervisor
6. Accounts Assistant

Positions are open only for Tanzanian national.

Interested candidates please send your resume with latest photo to mail address
info@raw-hospitality.com
 
Tuchangamkie Fursa
Urgent Hiring!!

An upcoming mid-scale hotel in Dar es Salaam is looking to hire below positions,

1. Sales Executive / Asst. Sales Manager
2. Asst. Sous Chef / Sous Chef
3. Asst. F&B Manager
4. Asst. Front Office & Reservations Manager
5. HK Supervisor
6. Accounts Assistant

Positions are open only for Tanzanian national.

Interested candidates please send your resume with latest photo to mail address
info@raw-hospitality.com
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nisaidie no yako boss
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Habarini wana JF, mimi nikijana mwenye shahada ya Family and Consumer Studies, ya chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) Nikiwa na uzoefu wa mwaka 1 kwenye NGOs kama AFISA LISHE WA MRADI. Shahada hiyo imejikita kwenye masuala yafuatayo;

1. Consumer behavior/advocacy, education and protection
2. Clothing, fashion design and textiles
3. Mother and child health/nutrition
4. Early childhood education and interventions
5. Community development (in various fields)
6. Social work (family related problems/solutions to problems)
7. Family resources management
8. Counseling in various family related problems (health/nutrition/social problems)
9. Food hygiene
10. Food processing and preservation
11. Community health and promotion
12. Gender and Development
13. Tourism and Hotel management

Kwa heshima na taadhima ninaomba msaada kwa yeyote ambae anaweza akanipatia ajira/connection ya ajira kwenye shirika lolote.

Shukrani!!

Mawasiliano: 0713 475 151
 
Habarini..
Mwenye connection ya kazi ya ukemia(uchenjuaji/mineral processing) kwa geita nipo hapa dada yenu nina uzoefu na uaminifu pia katika kazi,mwenye plant ama connection naomba anisaidie hata kazi nyingine pia naweza kufanya kama kusimamia mradi,shell,storekeeper n.k...Maisha ni magumu bila ajira ndugu zangu naomba tusaidiane..

Asanteni..
 
Ndugu zangu narudi tena kwenu naomba msaada wa kazi kwa mwenye connection ya kazi yoyote nipo tayar elimu yangu kidato cha nne mtaani jua kali jmn naomba msaada
 
Nachohitaji Nipate Mtu Mwenye Mzigo Wa Simu Nifanye Nae Biashara
Mkuu Nina ndugu yangu Yuko Marekani kila siku alikuwa ananiuliza kuhusu hili dili, anasema kule simu ziko used nyingi.

Kama uko serious tuongee dili tuone namna tunaweza kuwa tunafanya ili mzigo uwe unakuja bongo.

Lakini pia Kuna vitu vingine used vingi Kama matrekta ya kilimo na vifaa vya Ujenzi Kama Kuna mtu ana connection ya masoko Basi tunaweza zungumza maana tuna mtu tayari Yuko ng'ambo.


NB: matapeli kaeni mbali.
 
Nina vifaa vya kuprint tshirts, kofia, sahani na vikombe lakini kutokana na majukumu niliyonayo, nakosa muda wa kukomaa na biashara hii mpaka nikafikiria kuviuza, kwa hiyo kama una capital ya kununulia plain tshirts hii ni fursa kwako na kwangu pia. Nitakuelekeza namna ya kufanya hii kazi na hata nikiwa na nafasi tutafanya pamoja. Haichukui muda mrefu kuprint tshirt moja, sekunde 20 mpaka 30 fulana moja inakuwa tayari.

Kwa ufupi mchanganuo ni kama ifuatavyo:
Plain tshirts 100 = tshs 650,000/=
Transfer papers 100 = tshs 250, 000/=
Jumla = tshs 900, 000/=

Kuuza: tshirt 1 = tshs 15, 000/= (jumla); rejareja tshs 17, 000/= mpaka 20, 000/= (huwa natengeneza mara moja moja nawakopesha wafanyakazi wenzangu na wengine wanalipa kabisa).

Kipindi hiki cha msimu wa korosho kule kusini biashara inafanyika, hivyo ni rahisi kupata soko kubwa kule.

Baada ya mauzo tunagawana faida kwa uwiano tutakaokuwa tumekubaliana maisha yanasonga.

Kama utaiona hii fursa ni yenye manufaa, karibu tuyajenge!
 
Mkuu Nina ndugu yangu Yuko Marekani kila siku alikuwa ananiuliza kuhusu hili dili, anasema kule simu ziko used nyingi.

Kama uko serious tuongee dili tuone namna tunaweza kuwa tunafanya ili mzigo uwe unakuja bongo.

Lakini pia Kuna vitu vingine used vingi Kama matrekta ya kilimo na vifaa vya Ujenzi Kama Kuna mtu ana connection ya masoko Basi tunaweza zungumza maana tuna mtu tayari Yuko ng'ambo.


NB: matapeli kaeni mbali.
Kwanini asiwe anakutumia hizo simu ised uwe unauza? Hata hilo linahitaji connecrion ya masoko?
 
Back
Top Bottom