Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,908
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inapendeza ujue kujichetua kidogo, alafu ucheze na watoto.Shukran sana ni wakati wa kuchangamkia fursa sas
Mkubwa,mwanaume hatakiwiANAHITAJIKA MWANAMKE ANAYEJUA KUONGEA SPANISH AWE ANAJUA KUTUMIA COMPUTER MSHAHARA MILLION 1.5 KAMA YUPO ANIPIGIE SIMU MUDA HUU 0742930458
kaka tafuta kazi zisizo gender biased. Usilazimishe kwa ke akae me na kwa me akae ke.Mkubwa,mwanaume hatakiwi
Mkuu, unapatikana pande zipi naomba nipm nipate namba yako, natanguliza shukranmchongo kwa sasa ni kilimo tu,ukilima ekar 2 za alizet lazma utatoka na m4+,mafuta tz imekuwa tatzo wajanja tunachangamkia fursa hii
KAZI ZOTE HIZO ANAKUWAJE NA HALI MBAYA?Wakuu habari zenu.
Kuna mzee ana hali ngumu sana. Ni dereva na pia amesomea mambo ya logistics
Amefanya kazi UNHCR, WHO, Doctors with Africa. Kwa ufupi CV yake inatisha.
Ana recommendation letters kutoka WHO na UNHCR na reliable referees.
Kama kuna nafasi ya udereva au logistics officer wakuu naomba tumuunganishe. Mzee naa hali tete sana. Leseni yake ni kubwa.
Acha tu kaka kuna mambo ukisema humu watu wataona unazingua. Ila amini shida tunasababishiana binadamu si mpango wa Mungu tupate tabuKAZI ZOTE HIZO ANAKUWAJE NA HALI MBAYA?
Mkuu naomba kujua umri wake kwanza tuone Kama anaweza fit mahali flaniWakuu habari zenu.
Kuna mzee ana hali ngumu sana. Ni dereva na pia amesomea mambo ya logistics
Amefanya kazi UNHCR, WHO, Doctors with Africa. Kwa ufupi CV yake inatisha.
Ana recommendation letters kutoka WHO na UNHCR na reliable referees.
Kama kuna nafasi ya udereva au logistics officer wakuu naomba tumuunganishe. Mzee naa hali tete sana. Leseni yake ni kubwa.
Tunaowategemea watupatie michongo nao wanawaombes watu michongo kwa watu wengine polepole tutafika mji wenye mito ya maziwa na asaliWakuu kuna ndugu anahitaji mchongo wowote halali, ni mkaka ana elimu ya form 6 division 2 hajaenda chuo mwaka huu, hivo kwa niaba naomba kama kuna sehemu yoyote hata manual works ataweza. Ni mkaka fulani anajitambua sana hivo hatokuangusha kwenye kazi yoyote utakayompa.
Jilipue au tayari ulishafika?Naomba ABC za biashara ya mafuta ya alizeti kutoka Singida