kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
[emoji3][emoji3]Kusoma ni usengee
Oyaa wadau mwenye connection yeyote now nipo bariadi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Kusoma ni usengee
Oyaa wadau mwenye connection yeyote now nipo bariadi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mzee baba umefikaje bariadi..wasalimu wanyantuzu..sogea dutwa hapo kuna machimbo.Kusoma ni usengee
Oyaa wadau mwenye connection yeyote now nipo bariadi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haya maisha we acha tu kutoka Manzese mpka bariadi sio poaMzee baba umefikaje bariadi..wasalimu wanyantuzu..sogea dutwa hapo kuna machimbo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta mtaalam mmoja hapo uoge dawa. BAriadi haijawahi kuangusha.mpambanajiKusoma ni usengee
Oyaa wadau mwenye connection yeyote now nipo bariadi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu aisee huko ndio kujiongezea mikosiTafuta mtaalam mmoja hapo uoge dawa. BAriadi haijawahi kuangusha.mpambanaji
Umesha apply kwa Chisomeko the LegendMimi ni Mwalim mzoefu kwasasa hali ni tete, nafundisha masomo ya Kiswahili na Historia kuanzia Olevel mpk Alevel. Mwenye connection aniokoe na hii hali ninayopitia. 0654973754
Wewe ulifanikiwa kwenda!?kuna kampuni inaitwa Gardaworld ipo mikocheni b...kituo kinaitwa kwa mwinyi kampuni hiyo ni ya ulinzi...inahitaji madereva nenda ukiwa na leseni yako orginal, cheti cha shule kuanzia msingi hadi sekondary...vyeti orginal...leseni yako halali kabisa bila kusahau cheti cha kuzaliwa pamoja na namba ya nida au kitambulisho cha nida...kama unavyo vitu hivyo jumatatu fanya uende ukafanye interview...wataarifu na madereva wengine wenye uhitaji
nafanya kazi hapo...hivyo nililoliandika nina uhakika naloWewe ulifanikiwa kwenda!?
Jamani...bado anasubiriwa...Habari wakuu! ninahitaji mtu wa kufanya kazi kama kibarua kwenye duka la vinyaji linaloanza.
SIFA:- Afahamu kuendesha pikipiki,Awe anapatikana maeneo ya KIBAHA LOLIONDO/KIBAHA MAILI MOJA, Awe na mtu/watu watakaomdhamini.
Kwa maelezo zaidi nicheki PM
Natanguliza shukrani.
Hongera, salary yao ikoje?nafanya kazi hapo...hivyo nililoliandika nina uhakika nalo
Mkuu hii kweli isije ikawa fake[emoji848]
Sijawahi ona kampuni ya ndani ina email maalum ya kuombea ajira pamoja na email ya mkurugenzi ndio uombe ajira. Am suspiciousMkuu hii kweli isije ikawa fake[emoji848]
Upo wap mkuu?NATAFUTA MTU WA KUUNGANA NAYE TUFANYE BIASHARA YA MAZAO-AWE NA UZOEFU KIDOGO