Hili la virus inategemea na version uliyochukua, ni kweli kuwa baadhi ya version zinakuja na virus na kusababisha simu kuwa nzitoNshawahi kuifanya hii kitu tatzo hii apps unaitumia for 7day's free then utailipia na shida nyingine huwa inasababsha virus kwa wngi kwny cm na kupelekea cm kuwa nzto had ureboot cm na hili pia mlijue kwa wataohtaji.
Atakuwa huyo taiga.Hivi nani kakuroga siku hizi. Yaani hutaki kutumia lugha ya taiga kabisaaa.
If the signs are not there it means two things.Sometimes love blinds us so much even when the signs are there we don't see them.The honored admission is the person you trust who works so much behind your back.
Kuchunguzana sio sahihi.Mie sioni tu umuhimu
Kuna sehemu mtu anateleza naamini binadamu hatupo perfect,
He cheats yes! Anarudi tena na adabu zote ,ya nini nifukunyue!
Sina sababu ya kumfuatilia mtu unaweza kujikuta kwenye maumivu zaidi.
All the best matomaso wote.
Ukija kupandwa na pressure lete mrejesho mkuuSafi sana Mkuu
Kama ananisaliti acha tu anisaliti kumuacha siwezi kisa cha kupata presha au kufwa ghafla nimuache anakula raha na mautamu na mabebez wake ni niniii
Natania tu sina ata mmojaYaani uwe na mchepuko halafu chain isiwepo? Acha uzinzi ndugu..hauna faida hata kidogo, utakuja juta while its too late!
OkeeeNatania tu sina ata mmoja
Ha ha ha haa ila angalizo limetolewabinadamu walivyo wabishi wapo ambao watataka kufanya huu mchezo wakati mahusiano yao yapo vizuri kabisa...
acha wajitafutie ugonjwa wa moyo, mm acha niwe mpenzi mtazamaji tu.
asante chief