walykum salam warahma tullah wabarakatuhAssalam Alaykum
Hahaha mkuu!...Kama ananisaliti acha tu anisaliti kumuacha siwezi kisa cha kupata presha au kufwa ghafla nimuache anakula raha na mautamu na mabebez wake ni niniii
Chief ungeweka hapa link ya hiyo version nzuriHili la virus inategemea na version uliyochukua, ni kweli kuwa baadhi ya version zinakuja na virus na kusababisha simu kuwa nzito
NimekuPM mkuuNdo nimeamua kuwaletea kazi kwenu
Mbona ukitumia siku Tatu wanasema renew kwa kulipia vp hakuna ya freeNdo nimeamua kuwaletea kazi kwenu
huwa nachukilia kawaida tu mapenz haya tunaridhishana tu mwishowe tunapita duniani.Mimi huwa naendelea kuwashauri wanaume wenzangu, kama ulimkuta mkeo na bikra Fanya hivyo, lakini kama hukumkuta Nayo ujue mkeo alitolewa bikra na kidume Fulani ndicho ambacho kimekutengenezea njia ya kupita so, usiwe na hasira na haina maana kumchunguza. Maana ulikubali kumuoa akiwa hivyo