Uzi kwa waliosoma shule za jeshi-form 1&6

Uzi kwa waliosoma shule za jeshi-form 1&6

Info kama zipi?

Experience niliyobakia nayo ni kujua miendo kadhaa ya kijeshi, sijui hata inanisaidia nini?

Kingine mbio za smart area, hee zimeongeza pumzi eneo flani [emoji1787]

Kingine stick…. Wajuba wako na fimbo zao spesho.

Kingine usmart wa hapa na pale.. unamkuta mtoto wa Azania ama Kisutu hajachomekea wala kuvaa tai, lkn sie wa jeshini unachomekea tokea unatoka kwenu mpaka unarudi kwenu.
Hapo kwa kuchomekea sijawahi weza tangu vidudu had namaliza 6.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila makongo dah achaa tu kitambo hicho cha marehemu afande miraji na babu chacha yule mwembamba mbona tulinyooka vilivyo hahahaa dah! Namkumbuka mwl wangu master na kenyaman malongoli hatari sauti ya simba
Meja yeyeye unamkumbuka?,mataula je?
 
Sio wote nawakumbuka EvilSpirit labda wakati wa kwenda kula jolo ndio naukumbuka hadi leo tena mimi na wanangu tulikua tunaweka booking mapema ili tule pure la mama Kipingu 🤣🤣🤣
Hujasoma makongo Meja yeye na ukorofi wake wote ule humkumbuki? Hamna mtu aliyepita makongo asimjue huyu jamaa alikuwa second master
 
Info kama zipi?

Experience niliyobakia nayo ni kujua miendo kadhaa ya kijeshi, sijui hata inanisaidia nini?

Kingine mbio za smart area, hee zimeongeza pumzi eneo flani 🤣

Kingine stick…. Wajuba wako na fimbo zao spesho.

Kingine usmart wa hapa na pale.. unamkuta mtoto wa Azania ama Kisutu hajachomekea wala kuvaa tai, lkn sie wa jeshini unachomekea tokea unatoka kwenu mpaka unarudi kwenu.
Duh....
Hebu tulonge....
Mimi ni mhenga wa Jite.....
Kwata kila mkifungua shule...
Unajua sisi tuliyajenga hayo madarasa, tulikuwa tunabeba karai za mchanga badala kwenda kusoma, wanatuambia hilo ndio litakuwa darasa lenu likiisha....
 
Nlihamia jitegemee 1996 nikiwa f2 nikitokea kibasila, mkuu washule alikuja kupewa ukuu wa mkoa kagera enzi ya utawala wa magu km sikosei.
 
Duh....
Hebu tulonge....
Mimi ni mhenga wa Jite.....
Kwata kila mkifungua shule...
Unajua sisi tuliyajenga hayo madarasa, tulikuwa tunabeba karai za mchanga badala kwenda kusoma, wanatuambia hilo ndio litakuwa darasa lenu likiisha....
duh mwaka gan mkuu
 
Hujasoma makongo Meja yeye na ukorofi wake wote ule humkumbuki? Hamna mtu aliyepita makongo asimjue huyu jamaa alikuwa second master
Huyo yeye simkumbuki labda wakina kisonga, Bosco mzee wa physics na Toto’s, Kombaa yule chiba wa kifaransa sema nilimaliza kitambo sana hata ile kantini ya coca ndio walikua wanaanza kujenga sasa wewe sijui wa mwaka gani mwenzangu?
 
Hujasoma makongo Meja yeye na ukorofi wake wote ule humkumbuki? Hamna mtu aliyepita makongo asimjue huyu jamaa alikuwa second master
Wakati nasoma pale tulikua na kina makamua, Mc Ayubu, Jerryson Tegete shule ilikua haina hata fensi ya michongoma mlioikuta tulipanda sisi na bweni lilikua la mademu kwanza ndio baadae wakaongeza la machizi na huko area C na D ndio yalikua machimbo yetu Headmaster sarakikya baadae akaja kipingu na second master alikua mwaiseba dah! Those days it’s was tight sio lelemama kama ilivyo sasa
 
duh mwaka gan mkuu
Zamani sana, wakati huo 70% ya walimu walikuwa wanafunzi wa chuo kikuu wanaopitia mafunzo ya JKT....
Hayo madarasa marefu, yalikuwa ni maghala ya silaha...tulizihamisha wanafunzi wenyewe unazibeba kama Rambo vile kwenda kwenye ghala jipya walilojenga.....
Na upande wa Alevel ulikuwa ni mabweni ya wanajeshi na waliochaguliwa kupitia JKT kulala, baada ya Serikali kuacha kuchukua wanafunzi kupita JKT, ikawa fursa yakageuzwa A level.....
 
Wakati nasoma pale tulikua na kina makamua, Mc Ayubu, Jerryson Tegete shule ilikua haina hata fensi ya michongoma mlioikuta tulipanda sisi na bweni lilikua la mademu kwanza ndio baadae wakaongeza la machizi na huko area C na D ndio yalikua machimbo yetu Headmaster sarakikya baadae akaja kipingu na second master alikua mwaiseba dah! Those days it’s was tight sio lelemama kama ilivyo sasa
Nilimkuta kipingu na mwaseba.
Mc Ayubu alikuw six, tegete alikuw five na mjamaa mmoja alikuw mchezaji anaitwa Kigi ( alikuw kilaza tu hamna elim pale😃) nilimuacha form one wakati Niko form two😃😃
 
Ila makongo dah achaa tu kitambo hicho cha marehemu afande miraji na babu chacha yule mwembamba mbona tulinyooka vilivyo hahahaa dah! Namkumbuka mwl wangu master na kenyaman malongoli hatari sauti ya simba
Nilikutana na kenyaman this year. Yule jamaa sio mkenya Wala Nini mzushi tu

Wakati naingia makongo mzee mirahi akakata moto. Tulimuaga shuleni. Mwaka 2006 mwishoni. .
 
Info kama zipi?

Experience niliyobakia nayo ni kujua miendo kadhaa ya kijeshi, sijui hata inanisaidia nini?

Kingine mbio za smart area, hee zimeongeza pumzi eneo flani 🤣

Kingine stick…. Wajuba wako na fimbo zao spesho.

Kingine usmart wa hapa na pale.. unamkuta mtoto wa Azania ama Kisutu hajachomekea wala kuvaa tai, lkn sie wa jeshini unachomekea tokea unatoka kwenu mpaka unarudi kwenu.
We katoto ulisoma wapi?
 
Back
Top Bottom