Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Iliyotajwa ya kwanza kwa uziWe katoto ulisoma wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iliyotajwa ya kwanza kwa uziWe katoto ulisoma wapi?
Ile a.k.a tulimpa kwa sababu ya weusi wake na mwili mkubwa halfu kwenye hesabu alikua anatupiga chenga za mwili na kutuongopea hii formular nilisoma nikiwa kenya basi class watu wote kicheko kwa kwenda mbele..Nilikutana na kenyaman this year. Yule jamaa sio mkenya Wala Nini mzushi tu
Wakati naingia makongo mzee mirahi akakata moto. Tulimuaga shuleni. Mwaka 2006 mwishoni. .
Kumbe ulisoma Jite. I imagine you played football ⚽ utakuw na vigimbi😬Iliyotajwa ya kwanza kwa uzi
Yule jamaa hata hesabu alikuwa wa kawaida tu. Ndio maana alikimbilia ofisi ya nidham😃Ile a.k.a tulimpa kwa sababu ya weusi wake na mwili mkubwa halfu kwenye hesabu alikua anatupiga chenga za mwili na kutuongopea hii formular nilisoma nikiwa kenya basi class watu wote kicheko kwa kwenda mbele..
Kumbe ulisoma Jite. I imagine you played football ⚽ utakuw na vigimbi😬
Katika shule za jeshi makongo ndio ilikuw na mabishoo na masista du 😎
😃😃😃 Haya.haya
We jite umemaliza mwaka Gani ?Info kama zipi?
Experience niliyobakia nayo ni kujua miendo kadhaa ya kijeshi, sijui hata inanisaidia nini?
Kingine mbio za smart area, hee zimeongeza pumzi eneo flani 🤣
Kingine stick…. Wajuba wako na fimbo zao spesho.
Kingine usmart wa hapa na pale.. unamkuta mtoto wa Azania ama Kisutu hajachomekea wala kuvaa tai, lkn sie wa jeshini unachomekea tokea unatoka kwenu mpaka unarudi kwenu.
Ah kausha 😀We jite umemaliza mwaka Gani ?
Kizuka TPDF Sec. 2001-2004
Afande mpauko, Sokomoko, Warioba kwa stick hawa acha kabisa. Head Master Maj. Dumba tukamalizia na Maj. Mwashala
Jitegemee JKT High 2006-2008
Capt. Nchenjere Geo I now ni kanali
Capt. ..…...….............. Geo II now ni kanali
Mkisi programme😆😆
Head Master Maj. Mkisi now Kanali
It was a big experience being there mpaka sasa........
Aha sawA mi pia nilipga enzi za mkisi zile enzi za vibuktaAh kausha 😀
Naona ni enzi za Mkisi na kina Kumaliga
Sijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)Wakati nasoma pale tulikua na kina makamua, Mc Ayubu, Jerryson Tegete shule ilikua haina hata fensi ya michongoma mlioikuta tulipanda sisi na bweni lilikua la mademu kwanza ndio baadae wakaongeza la machizi na huko area C na D ndio yalikua machimbo yetu Headmaster sarakikya baadae akaja kipingu na second master alikua mwaiseba dah! Those days it’s was tight sio lelemama kama ilivyo sasa
Kipindi mama mchwa akiwa binti kabisa mwanae methew mchwampaka ndio anajiunga nasisi akihamia kutoka bukoba mpaka tukaanza harakati za music hapo tukiwa machali sana madarasa yalikua ni kama hall na yalikua matatu, Kisha yakawa yanarekebishwa huku bado tunapiga kitabuSijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)
Mama mchwampaka alikuwa anatufundisha historiaKipindi mama mchwa akiwa binti kabisa mwanae methew mchwampaka ndio anajiunga nasisi akihamia kutoka bukoba mpaka tukaanza harakati za music hapo tukiwa machali sana madarasa yalikua ni kama hall na yakua matatu, Kisha yakawa yanarekebishwa huku bado tunapiga kitabu
Muulize aliyekuwa kipanga wenu class ni nani?Daaah, kweli hatari, jamaa vituko sana nilikuwa nae a level singida, Mwenge high school 2005 to 2007, yap ni teacher, mshikaj wangu sana
Marehemu Yeyeye mwembamba hivi, mweusiSijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)
Huyohuyo jamaa yangu kalikuwa kakorofi sana kale kasoja si kalikuwa na gari fulani hivi sijui ni jeep au kolando ileMuulize aliyekuwa kipanga wenu class ni nani?
Kama una number yake nipatie maana nilishaipotezaga
Marehemu Yeyeye mwembamba hivi, mweusi
Alikuwa ameshaathirika, na kipindi kile ukisikia mtu ana ukimwi yaani full kumuogopa😆😆Huyohuyo jamaa yangu kalikuwa kakorofi sana kale kasoja si kalikuwa na gari fulani hivi sijui ni jeep au kolando ile