Uzi kwa waliosoma shule za jeshi-form 1&6

Nilikutana na kenyaman this year. Yule jamaa sio mkenya Wala Nini mzushi tu

Wakati naingia makongo mzee mirahi akakata moto. Tulimuaga shuleni. Mwaka 2006 mwishoni. .
Ile a.k.a tulimpa kwa sababu ya weusi wake na mwili mkubwa halfu kwenye hesabu alikua anatupiga chenga za mwili na kutuongopea hii formular nilisoma nikiwa kenya basi class watu wote kicheko kwa kwenda mbele..
 
Iliyotajwa ya kwanza kwa uzi
Kumbe ulisoma Jite. I imagine you played football ⚽ utakuw na vigimbi😬
Katika shule za jeshi makongo ndio ilikuw na mabishoo na masista du 😎
 
Ile a.k.a tulimpa kwa sababu ya weusi wake na mwili mkubwa halfu kwenye hesabu alikua anatupiga chenga za mwili na kutuongopea hii formular nilisoma nikiwa kenya basi class watu wote kicheko kwa kwenda mbele..
Yule jamaa hata hesabu alikuwa wa kawaida tu. Ndio maana alikimbilia ofisi ya nidham😃
 
We jite umemaliza mwaka Gani ?
 
Mzee Mwashala nampata sana
 
Afande Ndyamkama zile fimbo zako ziliniongezea ufedhuli tu.

Wewe sir major gani unamkimbiza mtu,
Tunapita uwanja wa damu upo tu
Tunafika kwa madiba upo tu.

Jite Ute
Na kwata lenu la kidwanzi
Nikawaambia Mimi nimekuja kusoma
Sio Uaskari.

Kumbe dingi kanikabidhi kwa afande Tolu
Mlijua kunitesa.

Nikawaanzishia mgomo humo humo, Darasa likaniiga.

Nikawa natafutwa kama Panya road,
Siku mliyonikamata nginja nginja kwa Mkisi.

Nauliziwa matokeo yangu toka nikiwa toka pre form one.
Mkisi alipogundua Mimi kipanga
Nikaingia nae Mkataba Mock nitoke na one.
Huku Darasa Zima linasurubiwa
Wakisema kiongozi wenu atafukuzwa shule

Ndo hivyo ilivyokuwa na kwenda zangu Azania advance.
Nikawa nayamisi maisha ya jite Ute Dunia hii.
 
Sijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)
 
Sijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)
Kipindi mama mchwa akiwa binti kabisa mwanae methew mchwampaka ndio anajiunga nasisi akihamia kutoka bukoba mpaka tukaanza harakati za music hapo tukiwa machali sana madarasa yalikua ni kama hall na yalikua matatu, Kisha yakawa yanarekebishwa huku bado tunapiga kitabu
 
Mama mchwampaka alikuwa anatufundisha historia
 
Daaah, kweli hatari, jamaa vituko sana nilikuwa nae a level singida, Mwenge high school 2005 to 2007, yap ni teacher, mshikaj wangu sana
Muulize aliyekuwa kipanga wenu class ni nani?
Kama una number yake nipatie maana nilishaipotezaga
Sijui mlitutangulia nilikuwa pale 2000 mkuu wa shule alikuwa kanali kipingu na makamu major yeyeye ila master alikuwepo sijawahi kumuona amevaa nguo za jeshi yule jamaa master waqsema alikuwa Luteni wa kwanza(nyota mbili)
Marehemu Yeyeye mwembamba hivi, mweusi
 
Muulize aliyekuwa kipanga wenu class ni nani?
Kama una number yake nipatie maana nilishaipotezaga

Marehemu Yeyeye mwembamba hivi, mweusi
Huyohuyo jamaa yangu kalikuwa kakorofi sana kale kasoja si kalikuwa na gari fulani hivi sijui ni jeep au kolando ile
 
Wale wa manyara ranch primary school wakuje hapaa ile ilikuwaa zaidi jeshi,Simba,chui,tembo,fisi na vibwengo tuliishii nao ,mix kulala njaa na kukosaaa majii viatu vetu vilikuwa katambuga hata ukiingia class bila viatu n fresh tuu na tulikuwa tunafaulu darasa zimaa ,,,,,,,,R.I.P Mwalimu mkuu KIPOONII Masai uliyejua umuhimu wa elimuu now day kuna maboc kibao nakutana nao wamepitaa mikononi kwako
 
Nyinyi mnamjua Mwl Wajadi ni alikuwa mzee wa blunt kinoma, jicho nyanya.......RIP
Mwl Mrs Lyimo......alikuwa kapendeza hasa....RIP....
Couples Tibaigana.....
Col Massawe ....Head....RIP
Capt Kipingu.....Second...na Sports Master
Lieut Ntibwela......mzee wa twisheni za sh 10 kwa saa
Njenje na Bakuza.......Servicemen
Mpeta.....Bios na Mrs Lymo na Sabini wa fimbo kali.....
Mhando...Phy and Maths....Bonge la ticha, alikuwa hachapi mtu kabisa.
Njau...mzinguaji wa Chem...Mweupe.kabisa....fimbo za kuvizia....
Major Ngajua.....Mzee wa vitotoz
Sir Major Bwenga...Mzinguaji kinoma....
MP Sokolo ...mzee wa getini
 
Huyohuyo jamaa yangu kalikuwa kakorofi sana kale kasoja si kalikuwa na gari fulani hivi sijui ni jeep au kolando ile
Alikuwa ameshaathirika, na kipindi kile ukisikia mtu ana ukimwi yaani full kumuogopa😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…