Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
- Thread starter
- #41
Kitanda cha chuma 5×6..
Ktanda 350000
Godoro inch 8 ..200000
Ktanda 350000
Godoro inch 8 ..200000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu wewe.viwe vyake au ni dalali sio muhimu kujua kwa sasa wala haisaidiii hata ukijua...peleka ujinga wako MMU hapa hapakufaiMkuu hivi vitu vyote ni vyako ulikuwa unatumia kwako? Au we ni Dalali?
Bei 280,000/= Lenovo View attachment 866946
[emoji109] [emoji109] [emoji109]Acha upumbavu wewe.viwe vyake au ni dalali sio muhimu kujua kwa sasa wala haisaidiii hata ukijua...peleka ujinga wako MMU hapa hapakufai
Mkuu pm yako nimeipataSpecifications?
Mkuu pm yako nimeipata
Mzigo huo haulipi mkuu
Mhusika siyo mimiHujajibu swali la specifications za hiyo lenovo lakini..
Mkuu mbona povu ye mbona kanijibu vizuri tu aisee? Maana mi nilielewa kwenye mwanzo wa uzi wake kwamba mtu mwenye bidhaa zake analeta kuuza,sasa nikashangaa yeye analeta bidhaa nyingi kuliko kawaida nikawaza labda kumbe hata ukiwa na bidhaa au unachukua sehemu kuja kunadi humu nayo ni sawa,sasa we shida yako iko wapi mkuu mpaka povu lote hilo?Acha upumbavu wewe.viwe vyake au ni dalali sio muhimu kujua kwa sasa wala haisaidiii hata ukijua...peleka ujinga wako MMU hapa hapakufai
Hakuna mipaka Uzi ni wa vitu used kama una bidhaa tupia jamviniMkuu mbona povu ye mbona kanijibu vizuri tu aisee? Maana mi nilielewa kwenye mwanzo wa uzi wake kwamba mtu mwenye bidhaa zake analeta kuuza,sasa nikashangaa yeye analeta bidhaa nyingi kuliko kawaida nikawaza labda kumbe hata ukiwa na bidhaa au unachukua sehemu kuja kunadi humu nayo ni sawa,sasa we shida yako iko wapi mkuu mpaka povu lote hilo?
Na nimuombe tu mtoa mada ikibidi abadilishe huko juu kuwa hata ukiwa dalali unaruhusiwa kuja kutangaza bidhaa huku alimradi watu wapende na wanunue
Sawa mkuu ila mi nilielewa tofauti ndio maana nikauliza huko juu,tuko pamoja na ntakutafuta unitafutie bidhaa moja mkuuHakuna mipaka Uzi ni wa vitu used kama una bidhaa tupia jamvini
Nakusilikiza mkuuSawa mkuu ila mi nilielewa tofauti ndio maana nikauliza huko juu,tuko pamoja na ntakutafuta unitafutie bidhaa moja mkuu
Hiz bei ni zaidi ya dukani kabisaaa..
Unaangalia kwenye unafuu then unachukuaHiz bei ni zaidi ya dukani kabisaaa..
Noted!Unaangalia kwenye unafuu then unachukua
PCSpecifications?
PCHujajibu swali la specifications za hiyo lenovo lakini..
PC
Ram 2
Processor 1.28
Internal 250 GB
Type Lenovo
Medium
Price 280k
Samahan niliona kama unaleta utani wataka haribu post..story mkuuu nimetelezaMkuu mbona povu ye mbona kanijibu vizuri tu aisee? Maana mi nilielewa kwenye mwanzo wa uzi wake kwamba mtu mwenye bidhaa zake analeta kuuza,sasa nikashangaa yeye analeta bidhaa nyingi kuliko kawaida nikawaza labda kumbe hata ukiwa na bidhaa au unachukua sehemu kuja kunadi humu nayo ni sawa,sasa we shida yako iko wapi mkuu mpaka povu lote hilo?
Na nimuombe tu mtoa mada ikibidi abadilishe huko juu kuwa hata ukiwa dalali unaruhusiwa kuja kutangaza bidhaa huku alimradi watu wapende na wanunue
Tuko pamoja mkuu wangu,nina mpango wa kununua kitu kwa huyu mdau.....waga sina tabia kuharibu uzi wa mtu kabisaSamahan niliona kama unaleta utani wataka haribu post..story mkuuu nimeteleza
SOLD SOLD SOLDJiko, mtungi wake na meza 260,000View attachment 866737View attachment 866738View attachment 866741View attachment 866742