Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
- Thread starter
- #61
SOLD SOLD SOLD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SOLD SOLD SOLD
Pole Sana mkuu ...Jamani mbona bei zenu ni tofauti kwa iyo bei ya Used,Ni heri mtu aende akanunue kitu kipya tu,Kama mie kuna kitanda na godoro lake 5 kwa 6 nilinunua laki mbili tena godoro lake likiwa bado jipya,sasa vitu vilivyowekwa hamu ndani bei zake ni kubwa sana yaani,
430000 iko inasubiri mteja tunaangalia mwenye hela kwanza Kama unafika bei hiyo unaweza kuipataHilo fridge bei ya mwisho?
Kabati lipi yako mawili leupe limeshauzwaNipo moshi nataka hilo kabati nitalipataje
Limeshauzwa mkuuNataka hilo kabati la laki mbili
Tutakuangalizia mkuuNatafuta radio ya mtumba ndogo tu yeynye kuchomekwa flash ofa 30,000 hadi 50
Kitanda chenye sofa pembeni kina bei sana hadi laki 6 bosiHiz bei ni zaidi ya dukani kabisaaa..
Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..Kitanda chenye sofa pembeni kina bei sana hadi laki 6 bosi
Godoro la QFL 5*6 inch 8 ni 200k dukani, mkoa gani mnauziwa 270k?Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..
Godoro la inch 8 linaenda 270 hadi 300
Bado watu wanaona bei Ni kubwa kuliko dukani
Rai yangu.. kama hujui bei ya kitu kipya uliza kwanza kuliko kucomment Kama Una uhakika.. Kufanya hivyo Ni kupoteza sifa ya muuzaji
200k?
Hailipi mangi200k?
Basi sawaGodoro la QFL 5*6 inch 8 ni 200k dukani, mkoa gani mnauziwa 270k?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app