Uzi maalum kwa 'vitu used'

Uzi maalum kwa 'vitu used'

Zulia 2:8 kwa 1:8
55000
Makongo
20180916_090302.jpg
 
Jamani mbona bei zenu ni tofauti kwa iyo bei ya Used,Ni heri mtu aende akanunue kitu kipya tu,Kama mie kuna kitanda na godoro lake 5 kwa 6 nilinunua laki mbili tena godoro lake likiwa bado jipya,sasa vitu vilivyowekwa hamu ndani bei zake ni kubwa sana yaani,
 
Jamani mbona bei zenu ni tofauti kwa iyo bei ya Used,Ni heri mtu aende akanunue kitu kipya tu,Kama mie kuna kitanda na godoro lake 5 kwa 6 nilinunua laki mbili tena godoro lake likiwa bado jipya,sasa vitu vilivyowekwa hamu ndani bei zake ni kubwa sana yaani,
Pole Sana mkuu ...
Bei Ni kutokana na thamani ya kitu
Kitu gani umeona bei kubwa
 
Natafuta radio ya mtumba ndogo tu yeynye kuchomekwa flash ofa 30,000 hadi 50
 
Kitanda chenye sofa pembeni kina bei sana hadi laki 6 bosi
Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..

Godoro la inch 8 linaenda 270 hadi 300
Bado watu wanaona bei Ni kubwa kuliko dukani

Rai yangu.. kama hujui bei ya kitu kipya uliza kwanza kuliko kucomment Kama Una uhakika.. Kufanya hivyo Ni kupoteza sifa ya muuzaji
 
Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..

Godoro la inch 8 linaenda 270 hadi 300
Bado watu wanaona bei Ni kubwa kuliko dukani

Rai yangu.. kama hujui bei ya kitu kipya uliza kwanza kuliko kucomment Kama Una uhakika.. Kufanya hivyo Ni kupoteza sifa ya muuzaji
Godoro la QFL 5*6 inch 8 ni 200k dukani, mkoa gani mnauziwa 270k?

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom