Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hii ila umbali tatizo, nipo kibaha200,000 ...masakiView attachment 866689
Jitahidi mkuu uhamie mjini mambo mazuri yatakupitaNimeipenda hii ila umbali tatizo, nipo kibaha
Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya kuuza vitu used especially vitu vya ndani..pia ikumbukwe gharama ya vitu used inakuwa nafuu kwa mnunuaji
Kama hali ilivyo kuwa ngumu.kuna wengine wanakimbia mjini na kuuza vitu vya ndani, wako wanaobadilisha furniture na kuweka mpya na wanaohama kikazi au kwa sababu maalum
Huu ndio utakuwa Uzi wetu Wa kutangaza vitu tunavyouza pia Kama unahitaji unaweza kusema wadau wakatafuta
Kitanda ,godoro, meza, stuli, friedge,tv,radio,deki, kabati la nguo na vyombo, zulia, sofa, pasi, jiko la gas na umeme ,vyombo vya ndani, vyombo vya maofisini n. K
Utaratibu utakuwa; utaweka kitu unachouza yaani picha ya bidhaa yako na bei yake ukiweza kuandika namba ya simu itakuwa vizuri zaidi na mahali ilipo bidhaa
Kama una usafiri Wa bure kwa mteja (free delivery) utatuambia wanajukwaa..huu uzi kwa ajili ya wauzaji na wanunuaji wa kweli kama hauko serious tuache wenye kuelewa vitu used ..au wanasema asiyehusika na shoo akae pembeni
Sofa la L 360,000
Dryer 200,000@1
Kabati la nguo mbao ngumu200,000
Friedge hotpoint480,000
Bakuli2000@1
Glass4000
Sahani3000@1
Tvshowcase230,000
Brenda60,000
Jiko pamoja na mtungi wake220,000
Vyote vinapatikana tabata bimaView attachment 865975View attachment 865976View attachment 865977View attachment 865978View attachment 865979View attachment 865980View attachment 865982View attachment 865983View attachment 865984View attachment 865986View attachment 865987View attachment 865990View attachment 865991
Wako wanaonunua Kama unaona bei kubwa kanunue mpya pia hatuwezi kuacha kuuza vitu kwa sababu wewe unaona Ni bei kubwaHivi vitu mkauzie ndugu zenu, bei sawa na mpya tuu, acheni tamaa
Nimesema tuu muache tamaa, kama imekuuma sorryWako wanaonunua Kama unaona bei kubwa kanunue mpya pia hatuwezi kuacha kuuza vitu kwa sababu wewe unaona Ni bei kubwa
Kila sehemu mjini mkuu, kwani mjini ninini na niwapi.Jitahidi mkuu uhamie mjini mambo mazuri yatakupita
Mishe zote zinapotokea ndio mjini[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kila sehemu mjini mkuu, kwani mjini ninini na niwapi.
Kila sehemu kunamishe bwana, kaburini kwenyewe kunakisheMishe zote zinapotokea ndio mjini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Basi kote mjiniKila sehemu kunamishe bwana, kaburini kwenyewe kunakishe
150k nakupa fastaPC
Ram 2
Processor 1.28
Internal 250 GB
Type Lenovo
Medium
Price 280k
Nashukuru mkuu..hizi bei ni fixed au mazungumzo yapo?Umeme
Yapo tukielewana vizuriNashukuru mkuu..hizi bei ni fixed au mazungumzo yapo?
Bei ganiJiko la gas la kupikia chapati unapika hadi sita kwa Mara moja View attachment 866716View attachment 866717
BeiSamsung s6 edege
Camera ya nyuma 16mp
Camera ya mbela5mp
32Gb
Haingii maji
Ina crack kidogo kwenya mfuniko Wa nyuma
View attachment 866777View attachment 866778View attachment 866779
Mkuu limeshuzwaBei gani