Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
- Thread starter
- #101
400000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
400000
SOLD SOLD SOLDJiko la gas la kupikia chapati unapika hadi sita kwa Mara moja View attachment 866716View attachment 866717
Lile jiko mkuu vipi..mm nina mbili kamili.Yapo tukielewana vizuri
Hailipi mkuuLile jiko mkuu vipi..mm nina mbili kamili.
Acha sound wewe!! hujui bei ya godoro wewe inaonekana bado upo kwa wazazi.Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..
Godoro la inch 8 linaenda 270 hadi 300
Bado watu wanaona bei Ni kubwa kuliko dukani
Rai yangu.. kama hujui bei ya kitu kipya uliza kwanza kuliko kucomment Kama Una uhakika.. Kufanya hivyo Ni kupoteza sifa ya muuzaji
Sawa mkuuAcha sound wewe!! hujui bei ya godoro wewe inaonekana bado upo kwa wazazi.
Ipo wapi mkuu, haina tatizo?Dstv 40000
Mabibo exteno. Haina ttzo.Ipo wapi mkuu, haina tatizo?
Basi sawaNimesema tuu muache tamaa, kama imekuuma sorry
150000 mkuu cash nipo mtonganiPC
Ram 2
Processor 1.28
Internal 250 GB
Type Lenovo
Medium
Price 220k
View attachment 868270View attachment 868271
Nawewe acha tamaa ya kuuza vitu bei.Wako wanaonunua Kama unaona bei kubwa kanunue mpya pia hatuwezi kuacha kuuza vitu kwa sababu wewe unaona Ni bei kubwa
Sure mkuu jamaa ana umate mate sanaaaaNimesema tuu muache tamaa, kama imekuuma sorry
Ongeza 60000150000 mkuu cash nipo mtongani
SOLD SOLD SOLDKitanda na godoro lake 5×6....340,000View attachment 866727View attachment 866729View attachment 866730
SOLD SOLD SOLD2:1sofa 280,000...kimaraView attachment 866732View attachment 866733
SOLD SOLD SOLDSamsung s6 edege
Camera ya nyuma 16mp
Camera ya mbela5mp
32Gb
Haingii maji
Ina crack kidogo kwenya mfuniko Wa nyuma
View attachment 866777View attachment 866778View attachment 866779