Uzi maalum kwa 'vitu used'

Acha upumbavu wewe.viwe vyake au ni dalali sio muhimu kujua kwa sasa wala haisaidiii hata ukijua...peleka ujinga wako MMU hapa hapakufai
Mkuu mbona povu ye mbona kanijibu vizuri tu aisee? Maana mi nilielewa kwenye mwanzo wa uzi wake kwamba mtu mwenye bidhaa zake analeta kuuza,sasa nikashangaa yeye analeta bidhaa nyingi kuliko kawaida nikawaza labda kumbe hata ukiwa na bidhaa au unachukua sehemu kuja kunadi humu nayo ni sawa,sasa we shida yako iko wapi mkuu mpaka povu lote hilo?

Na nimuombe tu mtoa mada ikibidi abadilishe huko juu kuwa hata ukiwa dalali unaruhusiwa kuja kutangaza bidhaa huku alimradi watu wapende na wanunue
 
Hakuna mipaka Uzi ni wa vitu used kama una bidhaa tupia jamvini
 
Samahan niliona kama unaleta utani wataka haribu post..story mkuuu nimeteleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…