Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,836
- 2,536
Asante mkuu. Nilitaka tu niende sawa na wabongoInaitwa Blender from the word blending!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu. Nilitaka tu niende sawa na wabongoInaitwa Blender from the word blending!
Mkuu hujapata tu? nami nahitaji au ulipata maeneo gani? na bei ikoje?Wakuu mkiona mtu anauza vifaa vya mazoezi ya kujenga mwili mnistue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifanya nitabasamu kwa jibu lako,asante!Asante mkuu. Nilitaka tu niende sawa na wabongo
Njoo pmWakuu mkiona mtu anauza vifaa vya mazoezi ya kujenga mwili mnistue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado vipo mkuu?Mimi ni kingamuzi cha DSTV na dishi lake nakitupa kwa 50K niko Ilala DSM weekend njoo uchukue ukaenjoy na familia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado vipo mkuu?
Bado naitaji aiseeNani anauza blender humu ndani
PoaKilishatoka mkuu
Mkuu ninayo imetoka abroad mashine ya maana kabisa njoo dm tuyajenge mkuu 0765873325Nahitaji mashine ya mazoezi ya kukimbia, ni PM mwenye nayo
Mkuu blender za juice za kisasa ninazo njoo dm mkuuBado naitaji aisee
Kuna baiskeli mkuu njoo dm tuyajenge 0765873325Nahitaji mashine ya mazoezi ya kukimbia, ni PM mwenye nayo
Mkuu naona ujenzi umepamba Moto njoo nikupe masinki ya choo kwa bei nafuu kabisaNaitaji madirisha used fut 5 kwa 5, na from ya mlango
Mkuu mali hiyo hapo 0765873325Mkuu hujapata tu? nami nahitaji au ulipata maeneo gani? na bei ikoje?
Hiyo hapo mkuu nipe 70000 nikuachieNani anauza blender humu ndani
Laki moja nikuje kuchukua!??Viko vyingi hatari
120,000View attachment 953702