Nitahakikishaje habari zako unazo ziongelea kuhusu huyo Mungu ni za kweli?
Ilhali huyo Mungu hawezi na hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha?
Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara na imani zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule????
Ndio maana pia tunasema mnaleta habari za UONGO kuhusu huyo Mungu.Ndio maana tunasema mna akili ndogo sana, kama unakubali Kuna kuhusika mbona una kana kuhusu akili, njaa na vinginevyo ?
Ndio maana hujibu maswali ninayo kuuliza. Kwahiyo na Time nayo ni jina Dhahania kwa maana uliyo itoa kule juu ?!
Unakubali njaa nayo ni kitu, Mungu naye ni kitu, kama ni hivyo Kuna ishara na ushahidi unao onyesha Mungu yupo.
Nitahakikishaje habari zako unazo ziongelea kuhusu huyo Mungu ni za kweli?
Ilhali huyo Mungu hawezi na hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha?
Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara na imani zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule????
Mengi tu mfano kutengezwa kwa mvua, vyanzo vya mafuriko, matetemeko ya Ardhi n.k, vitu ambavyo mwanzoni tulijua vinaletwa na Mungu, lakini sayansi imeonyesha haviletwi na MunguWewe unaamini Sayansi sababu ni shabiki wa Sayansi na sio mtafiti wa Sayansi.
Siku ukijua misingi ambayo Sayansi imejengeka kwayo utajilamu.
Kingine Sayansi haipo kwa ajili ya kukupa ukweli sababu si kamilifu.
Majibu gani sahihi ambayo Sayansi imekupa ?
Ndio maana pia tunasema mnaleta habari za UONGO kuhusu huyo Mungu.
Mungu huyo hajawahi kuwepo, hayupo na wala hawezi kuwepo kujiongelea mwenyewe.
Ni ninyi mnawashwa washwa kumuongelea Mungu Mdhaifu ambaye Kashindwa kuja kujiongelea mwenyewe..😄
Maswali yako ni ya uongo kwa sababu yamejengwa kwenye uongo wa Mungu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe.Jibu maswali niliyo kuuliza. Kisha nitajibu hiki unachouliza. Twende kwa utaratibu ili mjadala ulete maana.
Siwezi jenga hoja kwenye habari za uongo za wewe kutaka kumuongelea Mungu Mdhaifu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe.Kijana Jenga hoja, acha mipasho Sasa.
Time nayo ni Nomino Dhahania ? Maana unanichanganya sana ujue ?
Unapodai kitu fulani ni uongo unatakiwa ulete ukweli wake kwa ushahidi.
Usikimbie maswali niliyo kuuliza.
Mengi tu mfano kutengezwa kwa mvuo, vyanzo vya mafuriko, matetemeko ya Ardhi n.k, vitu ambavyo mwanzoni tulijua vinaletwa na Mungu, lakini sayansi imeonyesha haviletwi na Mungu
Siwezi jenga hoja kwenye habari za uongo za wewe kutaka kumuongelea Mungu Mdhaifu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe.
Mwambie huyo Mungu aje hapa mwenyewe ajiongelee yeye kama yeye.
Maswali yako ni ya uongo kwa sababu yamejengwa kwenye uongo wa Mungu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe.
Sasa huoni kwamba habari zako kutaka kumuongelea huyo Mungu ni za uongo?
Mwambie huyo Mungu wako aje hapa mwenyewe ajiongelee, sio wewe kutaka kumuongelea.
Dark matter ipo na inapimika ipo.Hujajibu swali, Do you believe kama dark matter ipo??????
Mungu ni nini?[If you know logics, huwezi kusema Mungu hayupo simply kwasababu hujamuona. That's absurd]
Kwanza, Anza kwa kutoa definition ya huyo Mungu ndipo tujue yupo ama Hayupo.Mimi na wewe tunatakiwa kuleta premises zilizofanya tufikie conclusion kama yupo au hayupo. Nimeanza na swali langu nijibu
Dark matter ipo na ina occupy space ndio maana imeweza kupimika ipo.Pia ntahitaji na wewe unitengenezee logic iliyokufanya ukonclude kama hayupo (I suppose miongoni mwa premises zako ni kwamba hayupo kwasababu huwezi kufeel, kumuona, kumpima, kumsikia is it?? So do you believe in dark matter??? )
Unahangaika kumuongelea huyo Mungu, kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe.Huku bado hatujafika tetea kile ukichokiandika.
Unajua mpaka muda huu bado sijaanza kumuongelea Mungu.
Yaani najenga hoja kwa kile unacho kiandika wewe. Sasa kama unashindwa kukitetea unachokiandika kwanini unajadiliana ?
Kwa hivo unataka nikueleze mvua inavotengenezwa, badala ya kujibu hoja ya wewe kuthibitisha uyo Mungu wako yupo!. Huoni kama unakuwa unabadilisha mada?Ndio maana nikasema wewe ni shabiki wa Sayansi, sio mfatiliaji wa Sayansi.
Tuambie mvua inatengenezwa vipi kwa mujibu wa Sayansi. Na unapo ongelea hilo hakikisha unafata zile "Scientific Method" ili tupime hayo maelezo yako ni ya Kisayansi. Hapa najua utarudi katika ule utoto wenu wa michoro kabisa ya juu mvua inavyotengenzwa na hapa inabidi ujiandae kujibu maswali nitakayo kuuliza.
Sasa wewe una ambiwa uthibitishe Mungu huyo anayedai yupo, halafu huwezi.
Unataka kufosi imani zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule ziwe kweli.
Theists wengi kama wewe ndio brainwashed mmeaminishwa na kupumbazwa dhana uchwara ya "Mungu" ambayo
Wewe ndo utakuwa wa kwanza kupima dark matter, na ndo wa kwanza kuona kama inaoccupy space. Kafanye research tena kuhusiana na dark matter alafu uje uniambie unaamini ipo au haipoDark matter ipo na inapimika ipo.
Mungu ni nini?
Kabla ya kutaka kusema Mungu yupo au hayupo first lazima uwe na definition ya Mungu.
Hata dark matter definition yake ipo.
Kwanza, Anza kwa kutoa definition ya huyo Mungu ndipo tujue yupo ama Hayupo.
Huwezi kuongelea kitu ambacho hata hujui ni nini.
Dark matter ipo na ina occupy space ndio maana imeweza kupimika ipo.
Sasa huyo Mungu ni nini?
Hoja yako ni nzito sanaPia kwann mtu asizaliwe na ufahamu wa MUNGU tangu mwanzo na sio kuanzia kufundishwa kupitia dini na maandiko matakatifu [emoji848] ndomana Kuna watu wanazaliwa India wanafundishwa kuhusu mungu Vishnu na krishna na sio Jehovah au Allah , ko hao waliozaliwa India uko na wakafata Imani Yao ya kihindu ko wanatenda dhambi ? Mana MUNGU waliofundishwa na wakubwa wao ni Vishnu na krishna kama ww ulivoshikilia Imani Yako kupitia hiyo dini Yako ya ukristo au uislam na ukafata maandiko matakatifu biblia au Quran ndomana unajiona ww uko sahihi na Kuna wengine kama wanaabudu miungu . Nakuambia hv ww ungezaliwa kule Japan ungekuwa ni muumini wa dini ya Shinto na Wala kamwe usingesikia Allah Wala Jehovah Tena ungeona kama ni vimiungu tu, ww ungekuwa unapigania Imani Yako ya Shinto mana ndo Imani kubwa japan
Iyo Dark matter imegundulika na Wana sayansi, na wanasema ni kwasababu Ina interact na gravity. Kwa hivo ni kitu Cha uhalisia, kimethibitishwa kisayansiWewe ndo utakuwa wa kwanza kupima dark matter, na ndo wa kwanza kuona kama inaoccupy space. Kafanye research tena kuhusiana na dark matter alafu uje uniambie unaamini ipo au haipo
Hapo unaongelea madai bado hujathibitishaDefault position inaonyesha yupo, Dunia na kila kitu mawe na milima, Balance of nature
nani ana control ? thibitisha kia hakuna anae control, kwamba vipo tuu thibitisha inakuajekuaje kwamba vipo tuu
Hakuna aliyethibitisha, it's just a theory science imejaribu kuelezea otherwise hakuna kitakachoweza kuelezea kwanini galaxies are not pushed away by the centrifugal forceIyo Dark matter imegundulika na Wana sayansi, na wanasema ni kwasababu Ina interact na gravity. Kwa hivo ni kitu Cha uhalisia, kimethibitishwa kisayansi
Ungesoma maelezo yote usingeandika hiki ulichoandika.Unaposema Mungu hayupo, hayo nayo ni madai. Lazima utakuwa na ushahidi wa hilo.
Sasa hiki kichaka kila siku mnajificha kwacho. Bali wakati mwingine anaye kanusha hutarajiwa kuwa na ujuzi zaidi wa jambo hilo, ndio maana hutangulizwa.
Wewe unaye kanusha unatangulizwa kuthibitisha juu ya kutokuwepo Mungu.