Ukiweza kunionesha physically existence of love, hatred, sense, logic without doing any action nitakuonesha Mungu alipoThis logical fallacy is called non sequitur.
Kitu cha kwanza inachotakiwa kufanya ni kuthibitisha Mungu yupo.
Kabla ya kusema Mungu kaumba hiki au Mungu kaleta hiki, thibitisha Mungu yupo kwanza.
Basi hujaelewa
Yahh ndo mana unaona sija-argue na ww manake sio mada nayo argue hapa, simply nareply post ulizonireply tu mkuuBac... Chill bro .
Hapo kwenye sense pia nami naweza kusema n hadithi, hakuna kitu kinachoitwa sense, hakijawahi kuwepo kwa sababu hakuna anayeweza kutuonesha sense zilipoKudhani jambo baya ama zuri hiyo haihitaji kujua mungu, hiyo ni common sense tu.
Mambo ya Mungu ni hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Na mimi namsubiri huyo Allah aje hapa mwenyewe ajiongelee na ajidhihirishe.
Habari zenu kutaka kumuongelea huyo Allah niza uongo.
Lilivyothibitishwa sikuwepo, naomba unithibishie Ili na Mimi niache kuwa Atheist kaka.. nahtaj uthibitisho tu kuwa Mungu yupo Ili niache kuwa Atheist
Kwa hii ndio unaita reasoning?smart, I presume you're a man of logic
Let's base on the fact "There's creator for everything".
Let's set two variables Universe, Creator(X)
There's a universe - > creator exists, Creator (X)
There's Creator(X) - > Creator (Y) exists
Let's build the regression
{Universe, Creator(X), Creator(Y), Creator(Z).... inf}
Based on this model we have an infinity regression
Let's add another condition, There's a Creator(X) who existed before everything (Uncaused cause/Prime mover)
From there you can avoid an infinity regression you get from the first logic which exclude uncaused cause. If you think one which end up forming an infinity loop is correct hayo ni matatizo yako binafsi sasa
Sijui hata kama shule ulienda na kama ulienda mtihani wa darasa la nne ulifaulu vipi?Hapo kwenye sense pia nami naweza kusema n hadithi, hakuna kitu kinachoitwa sense, hakijawahi kuwepo kwa sababu hakuna anayeweza kutuonesha sense zilipo
Hii hoja yako yaweza kua debated na hoja kutoka kwenye Society formation.
Mojawapo ni kwamba jamii kuundwa ilitokea makubaliano ambayo jamii inasurrender haki zao zote isipokua ya kuishi. In return authority itaoffer protection kwa jamii.
Kisha authority itatengeneza taratibu na sheria ambazo zitakua ndiyo miongozo.
Hivyo basi, watu hatuui kwa sababu authority ishaonyesha ukiua na wewe utauawa. Zikaundwa mpaka mahakama kufanya huu uamuzi.
Hivyo kabla kabisa binadamu hajaletewa dini alikua na authority.itu ambacho hujifikirishi ni kuwa uwepo wa Mungu hauhusishi ukristu na uislqmu pekee
Hiyo term morality msingi wake mkuu ni belief in super natural being
Hii hoja yako yaweza kua debated na hoja kutoka kwenye Society formation.
Mojawapo ni kwamba jamii kuundwa ilitokea makubaliano ambayo jamii inasurrender haki zao zote isipokua ya kuishi. In return authority itaoffer protection kwa jamii.
Kisha authority itatengeneza taratibu na sheria ambazo zitakua ndiyo miongozo.
Hivyo basi, watu hatuui kwa sababu authority ishaonyesha ukiua na wewe utauawa. Zikaundwa mpaka mahakama kufanya huu uamuzi.
Hivyo kabla kabisa binadamu hajaletewa dini alikua na authority.
Kitu ambacho hujifikirishi ni kuwa uwepo wa Mungu hauhusishi ukristu na uislqmu pekee
Hiyo term society formation msingi wake mkuu ni belief in super natural being so logically automatically kuua inakuwa guilty
Sijawahi kupinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani.Ukiweza kunionesha physically existence of love, hatred, sense, logic without doing any action nitakuonesha Mungu alipo
Hizi ni effect za computer, watu wamecheza na editing tu , kama muvi zinavotengenezwaKwa wale wanaopinga uwepo Mungu Miungu Energies nani afafanue haya mambo?!👇
View: https://youtu.be/tW6pVFOpE6Q?si=W2IUrOM32k9dnaoV
Nilikuwa mbishi kama wewe ila ushauri tu fanya research.Hizi ni effect za computer, watu wamecheza na editing tu , kama muvi zinavotengenezwa
Badala ya kubeza hebu leta hoja yako maana hata Mimi naweza kukuambia hivyo hivyo ulivyoniambiaSijui hata kama shule ulienda na kama ulienda mtihani wa darasa la nne ulifaulu vipi?
Nadhani ungeelewa nilichokomenti kabla ya kureply usingejitetea na kunihoji vitu dhaifu kama hivyoSijawahi kupinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani.
Hivi unaelewa hata sababu zangu za kupinga uwepo wa Mungu ni zipi au unadandia treni kwa mbele tu?
Wapi umeona imeanza conclusion, There's assertion of the fact "Nothing can start from nothing, There's a creator for everything" probably ndo hii uliita conclusionKwa hii ndio unaita reasoning?
Reasoning inaanza na conclusion?
Thomas Aquinas mwasisi wa hiyo Cosmological Argument hakuipangilia kwa namna mbovu kama ulivyofanya wewe.
Cosmological Argument ni jaribio la kutaka kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kuangalia mpangilio wa ulimwengu.
Thomas Aquinas aliweka pattern ya vitu vinne katika kuimarisha hoja yake.
1. Alisema kuna uwepo wa mfululizo wa matukio
2. Mfululizo wa hayo matukio ambayo huhusisha yakusababishwa na yasio sababishwa (lazima)
3. Lazima kutakuwepo na necessary being ambaye ndio kisababishi wa hayo matukio ambayo ni contingent.
4. Lazima kuwepo na being ambaye ni kisababishi cha mfululizo wa matukio yote hayo.
Akaja kuchambua hizo pattern kwa kuongeza hoja kama Argument from motion na maswala ya unmoved mover nk.
At least hiki ndio kitu ambacho ulitakiwa kuanza nacho kama utangulizi, kuliko kuja na conclusion eti "there creator of everything"
Leta hiyo research yako inayothibitisha pasi shaka kwamba Mungu yupo.Nilikuwa mbishi kama wewe ila ushauri tu fanya research.
Unaweza kwenda benki kukopa hela bila kua na nyaraka za uthibitisho wa mali zako ambazo utaweka rehani ili benki ikupe huo mkopo?Alafu pia, hiyo analogue inatokana na madai yenu mungu hayupo kwasababu waliosema yupo wameshindwa kuthibitisha uwepo wake, inaonesha wewe pia unaimani kama hiyo ya kibubusa huo mfano pia utakufaa.
Mkiwa mna-argue muwe mnakumbuka sio tu unajisahaulisha kuweka vitu vile unavyohisi
Leta hiyo research yako inayothibitisha pasi shaka kwamba Mungu yupo.