abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Ndo mana nasema nyie atheist hamna uwezo wa kufikiria na kujenga hoja zaidi ya kukariri filosofa za watu,
Sasa eti unanilazimisha nikuprovie hakuna tembo wa brown meanwhile mimi nasema yupo.
Nataka unioneshe logically how did you reach to that conclusion kama mungu hayupo! Unless there was no logic involved wakati unafanya maamuzi yako (Which I presume to be true) hapo tena sitoendelea kuargue manake ni maamuzi binafsi
Sasa eti unanilazimisha nikuprovie hakuna tembo wa brown meanwhile mimi nasema yupo.
Nataka unioneshe logically how did you reach to that conclusion kama mungu hayupo! Unless there was no logic involved wakati unafanya maamuzi yako (Which I presume to be true) hapo tena sitoendelea kuargue manake ni maamuzi binafsi