ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Uchaguzi ni kama wa DRC ,Rais ni Samia na hamna Cha kufanyaAkiamua hata uchaguzi wenyewe auzime tu. Wanasiasa wanaanza kutufanya mazwazwa na sisi tunaelekea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi ni kama wa DRC ,Rais ni Samia na hamna Cha kufanyaAkiamua hata uchaguzi wenyewe auzime tu. Wanasiasa wanaanza kutufanya mazwazwa na sisi tunaelekea.
Kwani misaada ililenga kuwafurahisha nyie machadema au?Hakuna chochote kitafanyika, ule ni usanii kama usanii mwingine. Hiyo miswaada mitatu yenyewe imekwepa matakwa halisi ya vyama vyote.
Bora umewaambia ukweli,Huwa nawaambia hakuna system ya kumpoteza Rais kama Samia kisa wapumbavu wengi dizaini ya Machadema na Suku gang.Tutaangalia maslahi ya taifa na usalama wa nchi. Hata jua litazimwa kama nchi itakuwa na sintofahamu ya kiusalama
Watanzania wengi wana muda wa kupoteza kufuatilia mipira ya Simba na Yanga, kushinda Bar wakinywa pombe na kuzozana mitandaoni nyuma ya keyboard watakosaje muda wa kupoteza kushiriki uchaguzi kupiga kura kwa siku moja tu??.Kupiga kura ambayo haina impact yoyote kwenye matokeo, ni matumizi mabaya ya raslimali muda. Mtu mwenye muda wa kupoteza tu ndio ataenda kushiriki huo upuuzi.
Kama ni hivyo wasingepika idadi ya wapiga kura na ya kura.Watanzania wengi wana muda wa kupoteza kufuatilia mipira ya Simba na Yanga, kushinda Bar wakinywa pombe na kuzozana mitandaoni nyuma ya keyboard watakosaje muda wa kupoteza kushiriki uchaguzi kupiga kura kwa siku moja tu??.
Sitarajii kama uhuni kama wa jiwe itarudiwa mbele ya macho ya dunia maana ikiwa basi mama atamaliza utawala vibaya sanaMama bila nguvu ya Internet na kucheza rafu za saa 8 mchana kamwe hatotoboa..
Yaani siku hiyo hata saa 5 mbali na ajabu kubwa Ni pale jamaa xetu wanapomhakikishia ushindi wa kishindo
Muda kampeni huwa unaanza wakati uchaguzi mmoja unapoisha.Fanyeni kazi muda wa uchaguzi na kampeni bado
Sio urais hata katibu kata hakustahiliJpm hakustahili kuwa rais basi tu ugomvi wa lowasa na membe
Unataka kusema hujui!Magufuli yupi huyo?
Mimi nimemueleza tu mleta mada kuwa kwa sasa hakuna mpinzani wa kushindana na Rais Samia labda tusubili 2025 ikifa pengine atatokea mshindani wa kushindana nae ila kwa sasa Wapinzani wamechokaSasa wewe ndugu hapa ndiyo umebisha au umeunga mkono?
Hakuwa na sifa hata moja Sema basi wakubwa wakiamuaJpm hakustahili kuwa rais basi tu ugomvi wa lowasa na membe
Kazi kwenu wana ccmAkiamua hata uchaguzi wenyewe auzime tu. Wanasiasa wanaanza kutufanya mazwazwa na sisi tunaelekea.
Ndugu ujue hapa ni jukwaa la siasa hivyo basi wacha wana jukwaa watoe maoni yaoHayo uliyoandika mbona mumeanza nayo Toka day 1 na Bado yupo Hadi Sasa huku Wananchi Wakiwapuuza?
Siasa Zina operate Kwa nyakati husika sio historia
Mwisho hata akizima internet utamfanya nini Kwa mfano? Maana Rais ni Samia nyie wengine mnanogesha mechi tuu.
Kilio cha mnyonge mara zote huwa na nguvu sana mbele ya muumbaUzuri ni kwamba vyovyote mtakavyofanya hakuna lolote la kumfanya
Kwahiyo wewe utafaidika na nini?Uchaguzi ni kama wa DRC ,Rais ni Samia na hamna Cha kufanya
Ilikuwa ya kuwafurahisha nyinyi machawa na makunguni wa ccmKwani misaada ililenga kuwafurahisha nyie machadema au?
Njaa naona imekupanda hadi kwenye medullaBora umewaambia ukweli,Huwa nawaambia hakuna system ya kumpoteza Rais kama Samia kisa wapumbavu wengi dizaini ya Machadema na Suku gang.
Samia ndio Rais hadi 2030 Kwa maslahi mapana ya Nchi.
Uzuri hata ukisema tozo,utaoneshwa kazi ya tozo ,Leo hii ukienda Tarura wamefungua maelfu ya Barabara Vijijini sababu ya tozo harafu anatokea mbuzi mmja analeta upuuzi.
Machadema nyie kazi yenu ni kunogesha zoezi la uchaguzi na sio kushinda haitokaa itokee.
Kupiga kura ni haki ya kila mtu hivyo sioni hoja hapaWatanzania wengi wana muda wa kupoteza kufuatilia mipira ya Simba na Yanga, kushinda Bar wakinywa pombe na kuzozana mitandaoni nyuma ya keyboard watakosaje muda wa kupoteza kushiriki uchaguzi kupiga kura kwa siku moja tu??.
Endelea kujinyea basiNimewahi kuchungulia ndani uchaguzi 2020 kimsingi Mimi kupiga kura tume hii niujinga kama kujinyea hadharani.