Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Habari wanajf. Binafsi Niko visiwa vya Haiti Marekani ya kaskazini. Kiujumla Maisha ndio yalinifanya nikafika huku, kwa sikuwahi kuwaza kuwa ntavuka visiwa vyetu vya Tanzania Yaani Pemba na Unguja.
WATU WA HUKU(WAHAITI)
Watu wa huku ni weusi ti Kama sisi huwezi kutofautisha na wasukuma, wanyakyusa na makabila mengine ya kibantu, Huku mapinduzi ya serikali nje nje, majanga ya asili Kama tetemeko na kimbunga vilishazoeleka.
Hakika ndio maana wamejaa weusi tu. Maisha Ni Kama ya uswahilini tu. Nakusihi na kukutia moyo uliyeko mbali na familia yako ukiipambania ili Mungu akijaali waishi vyema usikate tamaa licha ya changamoto unazipitia na upweke wa kuwa mbali na familia Mungu yu pamoja nawe.
Tulizimis familia zetu tukiwa mbali nazo tuziombe na kushirikiana nazo katika riziki tujaliwazo tusizitelekeze. Naomba kuwasilisha. Wasalimu Tanzania.
Karibuni Haiti.
WATU WA HUKU(WAHAITI)
Watu wa huku ni weusi ti Kama sisi huwezi kutofautisha na wasukuma, wanyakyusa na makabila mengine ya kibantu, Huku mapinduzi ya serikali nje nje, majanga ya asili Kama tetemeko na kimbunga vilishazoeleka.
Hakika ndio maana wamejaa weusi tu. Maisha Ni Kama ya uswahilini tu. Nakusihi na kukutia moyo uliyeko mbali na familia yako ukiipambania ili Mungu akijaali waishi vyema usikate tamaa licha ya changamoto unazipitia na upweke wa kuwa mbali na familia Mungu yu pamoja nawe.
Tulizimis familia zetu tukiwa mbali nazo tuziombe na kushirikiana nazo katika riziki tujaliwazo tusizitelekeze. Naomba kuwasilisha. Wasalimu Tanzania.
Karibuni Haiti.