Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Hivi kuna mtu kapata toka muweke taarifa zenu. Ushuhuda tafadhali😂😂
 
Kijana wa Kiume tafuta hela kwanza achana na kutafuta Mchumba 😂😂😂😂
 
Mimi nataka wakudinyana nae tu,hamna kitu kingine.Huyo mwanamke awe na uwezo wa kudinyana zaidi ya masaa sita non stop
 
Natafuta mchumba...
Awe anapenda kusoma vitabu sanaa.
Elimu kuanzia Form 4.
Kazi sijachagui
Kabila asiwe wa Kanda ya Ziwa.
Kipaombele Mchaga.
Umri kuanzia 35.
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja upendeleo awe mtoto wa kike akiwa wakiume sio mbaya japo wakiume akiwa sio mtoto wako akiwa mkubwa unawesa dundwa ukimzingua mama ake bahati mbaya.
Rangi yeyote japo mweupe napendelea.
Mimi nina kazi serikalini am Dervoced.
Umri wangu 34.
Mrefu pia mchaga.
Ninae ishi Morogoro
 
😂😂😅 uoga huo mkuu
 
Natafuta mwanamke wa kufanya nae biashara/partner ship
Sifa:miaka 20-65
Elimu:Form 4-degree
Kazi:awe na kipato Cha kueleweka.
Family status:No matter
Dini:Yoyote asiwe mpagani tu!
Umbo: Mwenye makalio yake(zingatia)
Rangi:mweupe au mweusi.
Kabila:lolote isipokuwa,mzaramo.
Umbo:Awe na nyama zake
Sifa za ziada:ajue kuchambua mchele,tembele.
Ajue kupika kuosha vyombo.
Asiwe mshirikina.
Mwenye sifa hizo karibu DM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…