financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Sasa mkuu kukaa haihitaji chura kubwa cm 1 tu inatosha hiyo ipo, ila waoaji wanataka chura kubwa kama bodi la gari tena Bus,hapo ndyo tunapishanaaUnakaaje sasa. Kwa hiyo nawewe ni mgaa gaa na upwa kwenye huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Cv yako ipo wapi? Niichukue niisambaze lazima waowaji wajeSasa mkuu kukaa haihitaji chura kubwa cm 1 tu inatosha hiyo ipo, ila waoaji wanataka chura kubwa kama bodi la gari tena Bus,hapo ndyo tunapishanaa
Aargh, nilidhani umekuja kuokoa jahazi kumbe nawe ni mmoja wao unapenda vyuraππ
Tatizo mimi natafuta ili mama chanja apande cheo. Sasa wewew hukubali.Aargh, nilidhani umekuja kuokoa jahazi kumbe nawe ni mmoja wao unapenda vyura[emoji3][emoji3]
Aah, hiyo ya kupandisha vyeo watu sitaki mimi, namuonea huruma mwanamke mwenzangu and what goes around comes around, siku utanipandisha na mi mwenyewe, mambo ya Dr Mwaka anayaweza mwenyewe aisee.Tatizo mimi natafuta ili mama chanja apande cheo. Sasa wewew hukubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
mm sina shida na chura nije tuyajengeAah, hiyo ya kupandisha vyeo watu sitaki mimi, namuonea huruma mwanamke mwenzangu and what goes around comes around, siku utanipandisha na mi mwenyewe, mambo ya Dr Mwaka anayaweza mwenyewe aisee.
Hongera sanaBaada ya kuleta Uzi Huku WA kuvutana ndani, napendwa kutoa mrejesho kuwa nimepata nilichokuwa nahitaji na zaidi ya matarajio, nimepata mwanamke mzuri Kwa urembo na kichwani, anajua kujali, kupenda na kuheshimu...Kwa hakika jamii forum imejua kukifurahisha......Kwa wengine ambao MNA mrejesho mnaweza kuutoa pia, Kwa hakika jamii ni kiwanda cha kila kitu. Muwe na jumapili njema.
Hivi hujui dr mwaka ndio kiumbe chenye furaha dunian? Kama hutak namie niipate hiyo furaha sawaAah, hiyo ya kupandisha vyeo watu sitaki mimi, namuonea huruma mwanamke mwenzangu and what goes around comes around, siku utanipandisha na mi mwenyewe, mambo ya Dr Mwaka anayaweza mwenyewe aisee.
Niliweka huko juu ila sikupata mchumba, sikua na vigezo wanavyovitaka waoaji[emoji14]
wasijali hilo ni jina tu kama ilivyo hiyo zilion, hizo services zangu ni chache na nazimudu mwenyewe, buku la mafuta ya kupaka inatosha,nywele nanyoa no gharama za saloon ,umeonaa hahaaa
umri miaka 28
rangi na muonekano check dp
elimu bachelor in BA
kazi broker wa magari na hotels
mrefu maji ya kunde
situmii kilevi chochote
nimtakae
awe mwenye kujipenda
mwepesi wa kufundishika na mawazo chanya
rangi maji ya kunde au mweupe
asiwe na mambo mengi kama vilevi nk
awe serious kwa ajili ya mahusiano na ndoa hapo baadae
karibu pm
Sent using Jamii Forums mobile app
wasijali hilo ni jina tu kama ilivyo hiyo zilion, hizo services zangu ni chache na nazimudu mwenyewe, buku la mafuta ya kupaka inatosha,nywele nanyoa no gharama za saloon ,umeonaa hahaaa
25?
K,K
Babe Edson mambo!mm sina shida na chura nije tuyajenge
πππ Yani weweUlinitosa lakini sawa tu
Hiyo ndyo budget yangu mkuu, hamna kilichoongezeka πAloo unakujakuja ila hiyo budget ni ile ya posho 45000 ya jkt
Baada ya kutoka chuo cha taifa haujaongeza sifuri kadhaa mbele?
Sent using Jamii Forums mobile app