Vipi tukakojoleane auποΈπ«π«Aiseeeeee
KiumanaWewe ni mtu wa hovyo sana na ukiendelea nitumie picha za uume wako inbox nitakudharirisha kwa kuscreen short na kukuweka wazi humu. Mi ni mtu mzima usiniletee upuuzi wako. Zile picha mtumie marehemu mama yako.
Unaasili ya uarabu au kihindiMimi ni mdada, naishi Dar ila nyumbani ni Tanga. Ni Mkristo, natafuta mchumba sichagui dini, awe na miaka 28-35, asiwe mlevi.
Mganga wa hospitali fomfoo?mganga wa jadi au mganga wa hospital za kisasa?
InterestedCome we stay.
Elimu: fomu twu
Hela: sina
Gari: sina
Nyumba: sina
Kiwanja: sina
Location: DarSlum.
Nipo nipo tu. Namiliki moyo tu na geto uswazini.
Come we stay. You just come...
-Kaveli-
Sehemu gannipo mbeya
Mama samia unaoaje wakati wewe ni demu?Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo;
Umri: 25 - 33
Chama: CCM (awe na kadi hai ya uanachama)
Elimu: Shahada ya kwanza pia awe na angalau C ya hesabu kidato cha nne.
Dini: msabato.. ila kama sio msabato basi asiwe anakunywa pombe, kula kitimoto, kusuka nywele bali awe mpenzi mkubwa wa mboga za majani na nafaka.
Pia asiwe na mtoto wala mimba na awe tayari kwa ndoa ya kimila.
Kamuulize mama yako anajua kama mimi ni naniMama samia unaoaje wakati wewe ni demu?
Mama yangu anajua wewe ni mama samiaKamuulize mama yako anajua kama mimi ni nani
Ingekuwa vyema huu muda unaopoteza ukaendelea kupambania mambo yako.Mama yangu anajua wewe ni mama samia
Mambo gani mama samia?Ingekuwa vyema huu muda unaopoteza ukaendelea kupambania mambo yako.
Edit uweke jinsi yako wajuba wasije tinga PMMimi awe ana pumua tu mengine tutarekebishana [emoji1787]
Mie mjubaEdit uweke jinsi yako wajuba wasije tinga PM
Unataka muajiri au mke πππ daah aseeNatafuta mke mwenye sifa zifuatazo;
Umri: 25 - 33
Chama: CCM (awe na kadi hai ya uanachama)
Elimu: Shahada ya kwanza pia awe na angalau C ya hesabu kidato cha nne.
Dini: msabato.. ila kama sio msabato basi asiwe anakunywa pombe, kula kitimoto, kusuka nywele bali awe mpenzi mkubwa wa mboga za majani na nafaka.
Pia asiwe na mtoto wala mimba na awe tayari kwa ndoa ya kimila.