Uzi maalum wa kuwakumbuka Walimu waliotufundisha kuanzia chekechea hadi Chuo Kikuu

Waliosoma mbeya AIRPORT pr. Wanajua moto wa mwalimu KANYIKA kuanzia chekechea mpaka namaliza cjawahi jumuona akicheka

Fimbo zake mpaka Leo zinajirudiq kichwani mwanguu


Anyway popote alipo madqko yake
Walimu wengine tunawakumbuka kwa mema waliyotutendea. Lakini wapo wengine tunawalaani kwa mateso waliyotufanyia tukiwa chini ya mamlaka yao. Hao ni pamoja na huyo Mwalimu wako katili.
 
Dah! Wwe Jamaa unakumbukumbu nzuri sana kuwakumbuka walimu wote hao,barikiwe sana! Mi mwenzio walimu ambao wako kichwani mwangu ninao wakumbuka ni watatu wa primary, Mwalimu Mwaka, Mwalimu Imamu na Mkuu wa shule Mwalimu Sabuni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…