Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hii inaweza kuwa motivational post pia ya kuonesha kwamba ulemavu sio kushindwa kabisa.

Kwa upande wa albino nimewaacha maana kwao wana nafuu, bado wanaweza kusikia, kuongea, kuona, kufikiri, kutembea, n.k. hapa kuna kina Manara, Keisha, Abdallah Posi, Albino flani (R.I.P), n.k.

Ila sasa kuna hawa walemavu ambao kufanya hata vitu vya kawaida inabidi watumie jitihada kubwa mfano wenye changamoto ya uono, usikivu kuongea, kutembea, n.k.

Ningependa huu uzi uwe maalum kwa kuwatambua watanzania wenye changamoto hizi ambao ni maarufu, wana vyeo, wasomi, wafanyabiashara, n.k. naamini nao wapo.
 
Hii inaweza kuwa motivational post pia kwamba disability is not inability

Najua wapo wanasiasa, wasomi, watuu maarufu wenye ualbino na hii ni sababu kwao bado wana nafuu wanaweza kusikia, kuongea, kuona, kufikiri, kutembea, n.k. hapa kuna kina Manara, Keisha, Albino flani (rip), n.k.

Ila sasa kuna hawa walemavu ambao kufanya hata vitu vya kawaida inabidi watumie jitihada kubwa mfano wenye changamoto ya uono, usikivu kuongea, kutembea, n.k.

Ningependa tuorodheshe hapa watanzania wenye changamoto hizi ambao wanaweza kuwa role models
angalia clouds mda huu umuone
 
Hii inaweza kuwa motivational post pia ya kuonesha kwamba ulemavu sio kushindwa kabisa.

Kwa upande wa albino nimewaacha maana kwao wana naduu bado wanaweza kusikia, kuongea, kuona, kufikiri, kutembea, n.k. hapa kuna kina Manara, Keisha, abdallah Posi, Albino flani (rip), n.k.

Ila sasa kuna hawa walemavu ambao kufanya hata vitu vya kawaida inabidi watumie jitihada kubwa mfano wenye changamoto ya uono, usikivu kuongea, kutembea, n.k.

Ningependa huu uzi uwe maalum kwa kuwatambua watanzania wenye changamoto hizi ambao ni maarufu, wana vyeo, wasomi, wafanyabiashara, n.k. naamini nao wapo.
Mimi nina disability ya kusikia,miguu na kutoona mbali Kwa uhalisia.Nimefanikiwa kupata shahada ya kwanza ya Takwimu.Kwenye maisha yangu ya Darasani ,sikuwahi kuandika sababu simsikii lecture Wala kuona ubaoni.Embu fikiria mtu unasoma Pure mathematics, then una hali kama yangu na bado una upass kama kawaida.

Kwenye kutafuta Ajira aisee ni kisanga,mpaka sasa nimefika oral interview ya Utumishi (PRSS),lakini kutokana na hali yangu nikashindwa fikisha 50% wanazozitaka. Nilitegemea wangejiongeza hata kunipa nafasi nami nionje mema ya nchi,wameniacha nipo tuu mtaani.

Inaumiza haswa ,ukizingatia bidii nilizofanya then naishia kuwa kitaa tuu.
 
Mimi nina disability ya kusikia,miguu na kutoona mbali Kwa uhalisia.Nimefanikiwa kupata shahada ya kwanza ya Takwimu.Kwenye maisha yangu ya Darasani ,sikuwahi kuandika sababu simsikii lecture Wala kuona ubaoni.Embu fikiria mtu unasoma Pure mathematics, then una hali kama yangu na bado una upass kama kawaida.

Kwenye kutafuta Ajira aisee ni kisanga,mpaka sasa nimefika oral interview ya Utumishi (PRSS),lakini kutokana na hali yangu nikashindwa fikisha 50% wanazozitaka. Nilitegemea wangejiongeza hata kunipa nafasi nami nionje mema ya nchi,wameniacha nipo tuu mtaani.

Inaumiza haswa ,ukizingatia bidii nilizofanya then naishia kuwa kitaa tuu.
Nafkiri kuna kitengo maalumu cha ajira ambao wanashughulika na watu wa aina yko hongera sana
 
Mimi nina disability ya kusikia,miguu na kutoona mbali Kwa uhalisia.Nimefanikiwa kupata shahada ya kwanza ya Takwimu.Kwenye maisha yangu ya Darasani ,sikuwahi kuandika sababu simsikii lecture Wala kuona ubaoni.Embu fikiria mtu unasoma Pure mathematics, then una hali kama yangu na bado una upass kama kawaida.

Kwenye kutafuta Ajira aisee ni kisanga,mpaka sasa nimefika oral interview ya Utumishi (PRSS),lakini kutokana na hali yangu nikashindwa fikisha 50% wanazozitaka. Nilitegemea wangejiongeza hata kunipa nafasi nami nionje mema ya nchi,wameniacha nipo tuu mtaani.

Inaumiza haswa ,ukizingatia bidii nilizofanya then naishia kuwa kitaa tuu.
Hongera mkuu kwa kumaliza degree yako si kitu kidogo,

Nigusiea hapo kwenye 50 %, hizo alama huwa ni maalum kwajili ya wenye ulemavu tu au?

Chuoni ulipewa mkopo ?

Ni ushauri upi unawapa wenye changamoto kama zako kwa mambo uliyopitia katika safar yako ya elimu na laiti ungekuwa unaweza kurudi nyuma basi ungeyafanyia marekebisho kuendana na soko la ajira au fursa zingine ?
 
Hongera mkuu kwa kumaliza degree yako si kitu kidogo,

Nigusiea hapo kwenye 50 %, hizo alama huwa ni maalum kwajili ya wenye ulemavu tu au?

Chuoni ulipewa mkopo ?

Ni ushauri upi unawapa wenye changamoto kama zako kwa mambo uliyopitia katika safar yako ya elimu na laiti ungekuwa unaweza kurudi nyuma basi ungeyafanyia marekebisho kuendana na soko la ajira au fursa zingine ?
Asante sana.Yaani ipo hivi ,ili upate kipaumbele Kwa mwenye ulemavu pindi unapo fika oral interview za Utumishi (PRSS).Inabidi kwenye oral interview upate 50% na zaidi ,isishuke chini ya hapo.Sasa.mimi nilipata chini ya hizo alama ,so wanasema siwezi kupata haki ya Ajira.

Kwa mtu mwenye ulemavu,fani za kusomea ni Ualimu na udaktari....kwenye Ajira wanapewa kipaumbele kuliko sisi ambao tumesoma kada zingine na tunatumia mfumo wa Ajira Portal.
 
Nafkiri kuna kitengo maalumu cha ajira ambao wanashughulika na watu wa aina yko hongera sana
Asante San,siasa nyingi mno kwenye hivyo vitengo, mimi mpaka sasa sijapata hizo nafasi wanazosema wanatoa,licha ya kufika hadi oral interview ya Utumishi (PRSS) .Watu wanatutumia Kupiga hela.Kama vipo mimi nipo hapa wanisaidie...
 
Hongera mkuu kwa kumaliza degree yako si kitu kidogo,

Nigusiea hapo kwenye 50 %, hizo alama huwa ni maalum kwajili ya wenye ulemavu tu au?

Chuoni ulipewa mkopo ?

Ni ushauri upi unawapa wenye changamoto kama zako kwa mambo uliyopitia katika safar yako ya elimu na laiti ungekuwa unaweza kurudi nyuma basi ungeyafanyia marekebisho kuendana na soko la ajira au fursa zingine ?
Chuo sikupata Mkopo,licha ya kuomba na kukata rufaa.Wazazi wangu wamepambana hivyo hivyo hadi nikamaliza.Siyo kwamba Wana hela au ni matajiri.walijitoa kwenye hilo wakitegemea nitapa kazi nijitegemee.
 
Asante sana.Yaani ipo hivi ,ili upate kipaumbele Kwa mwenye ulemavu pindi unapo fika oral interview za Utumishi (PRSS).Inabidi kwenye oral interview upate 50% na zaidi ,isishuke chini ya hapo.Sasa.mimi nilipata chini ya hizo alama ,so wanasema siwezi kupata haki ya Ajira.

Kwa mtu mwenye ulemavu,fani za kusomea ni Ualimu na udaktari....kwenye Ajira wanapewa kipaumbele kuliko sisi ambao tumesoma kada zingine na tunatumia mfumo wa Ajira Portal.
Sasa mkuu hio oral interview inakuwaje hapo kama husikii, naona kama hamuelewani inakuwa ngumu kutoboa hata hio 50%

Na hapo kwenye fani ya kusomea kwenye udaktari at least ina make sense ila kwa ualimu huwa nashangaa sana kwamba watu wenye changamoto ya usikivu ndio hushauriwa kuisoma, ni vipi mwalimu mwenye hii changamoto anaweza kufundisha ?

namjua binti flani ni mwalimu wa shule ya kata lakini hadi leo sijui kabisa ni kwa namna gani anaweza kufanya kazi yake, nilitegemea wangempeleka shule kama Njombe viziwi ili aendane na mazingira ya kusaidia wanafunzi kupunguza changamoto alizopitia yeye akiwa shuleni.
 
Sasa mkuu hio oral interview inakuwaje hapo kama husikii, naona kama hamuelewani inakuwa ngumu kutoboa hata hio 50%

Na hapo kwenye fani ya kusomea kuwa ualimu huwa nashangaa sana kwamba watu wenye changamoto ya usikivu ndio hushauriwa kuisoma, ni vipi mwalimu mwenye hii changamoto anaweza kufundisha ? namjua binti flani ni mwalimu lakini hadi leo sijui kabisa ni kwa namna gani anaweza kufanya kazi yake.
si kuna shule maalum wanaenda kufundisha
 
Sasa mkuu hio oral interview inakuwaje hapo kama husikii, naona kama hamuelewani inakuwa ngumu kutoboa hata hio 50%

Na hapo kwenye fani ya kusomea kuwa ualimu huwa nashangaa sana kwamba watu wenye changamoto ya usikivu ndio hushauriwa kuisoma, ni vipi mwalimu mwenye hii changamoto anaweza kufundisha ? namjua binti flani ni mwalimu lakini hadi leo sijui kabisa ni kwa namna gani anaweza kufanya kazi yake.
Mimi nilitegemea wangejiongeza ,kitendo Cha mimi kupass written interview na kufika oral kilikuwa ni ushahidi tosha kuwa ninaweza kazi.

Wanasomeaga special needs.Wafundisha wenye uhitaji maalumu kama:- viziwi ,vipofu n.k

So wanakuwa wanajua Alama zote za wenyewe ulemavu.
 
si kuna shule maalum wanaenda kufundisha
huyo binti yupo shule za kata hizi sio shule maalum, mfumo wa kuwapanga walimu kikazi bado una chagamoto, ingekuwa busara apelekwe hata shule maalum ilnayoendana na hali yake.
 
Mkurugenzi wa data vision ni mlemavu

Kuna jamaa mmoja naye ni kipofu
Anaendesha NGO yake

Ova
 
Kuna yule mdada aloshirikishwa na kala jeremiah kwny wimbo wa tuna ndoto. Huyo mdd anaitwa miriam, yy ni kipofu.
 
Back
Top Bottom