Uzi Maalum wa kuweka Picha ya mtu mnaefanana:

Uzi Maalum wa kuweka Picha ya mtu mnaefanana:

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nakufa mm jaman...hahahahahaha hapa nimecheka jaman..khaaa mm naambiwaga nimefanana na first lady wa zenji.. i mea mke wa Shein ..had mapigo tunapiga mapigo sawa au na mke wa mzee kibaki yule alofariki..alikua mtΓ ta kwa wanahabariπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna wanaonifananisha na Idris alba, na wengine Joe Thomas, I remember back in the day when I was a secondary school student, waskaji walikua wakinilazimisha ninyoe dongo but sikuweza. Nakumbumbuka nami niliingia king mpk nikaanza kupenda na ku kariri hit songs zake enzi hizo kama Good girls, all tht I am , love scene nk. Ila tushakua watu wazima sasa. Mwenye picha za hao jamaa please!
 
Wananifananiaha na huyu bwana

IMG-20181124-WA0016.jpg
 
Back
Top Bottom