Uzi Maalum wa kuweka Picha ya mtu mnaefanana:

Hahaha Kenyonyo Hatari sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kana swaga .haya ni baadhi ya maneno yake

Kenyonyo : i want to marry you
Demu: marry me ? No way i am a princess
Kenyonyo : and you will one day be a queen
[emoji23] eti nako ni kafalme
 
Afro ni hatari yule mtu. Yani unaeza angalia movie kwa subtitle usiipende lakini movie yake yeye utaipenda mno
(Kijana embu kwanza lete kitu kubwa,kopuro leo hata hatutaki kitu ndogo)[emoji23]
Ukisikia anasema Fumimi vyuana vyunapenda sana Madhahabu ujue huyo ni Mwafrika [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimefanana Na Huyu Jamaa, Nilihisi Hivyo Nikaja Kuthibitisha Kwa Wadau Wa Chuoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…