Uzi Maalum wa kuweka Picha ya mtu mnaefanana:

Uzi Maalum wa kuweka Picha ya mtu mnaefanana:

jayz.jpg Wanasema nimefanana hi hili li masonic
jayz.jpg
 
Mimi nafanana na Mama Getruda Mongela wengine wananiambia eti nafanana na Gaudensia Kabaka wengine wananiambia eti nafanana na Rais mstaafu wa Kenya Moi. Wenye picha zao tafadhali.
Basi utakuwa "vere byutifu"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom