Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kweli Tarime ni kuzuriView attachment 2711519
View attachment 2711520
View attachment 2711521
View attachment 2711522
View attachment 2711523
Hili chimbo ni Beach Front, unapata kijumba chako kamili, choo, jiko, sebule, chumba cha kulala na kighorofa cha kupungia upepo mwanana wa bahari.
Raha zote hizi unapata kwa shilingi 100,000 tu kwa siku, huku ukiendelea kupata Internet ya bure yenye kasi ya ajabu.
Sehemu ni salama na inafikika kirahisi.
Kwanini uishi kwa kujibana bana?
Hapa kwa wapenzi wa kukaa bila nguo (nudists) ni mahali sahihi. Ukipewa funguo, umepewa Paradiso yako
Eti umesemaje?Kweli Tarime ni kuzuri
Inapunguza hadi machungu ya mauzo ya bandari?Hiyo ni kiboko zaidi ya kifimbo.🤔View attachment 2711524
View attachment 2711525View attachment 2711526
Kwanini usije kutulia kwenye hii pepo ndogo? Pepo hii yenye vyumba vitatu vya kulala ni muafaka sana kwenu, hasa mkitaka kutoka kwa mapumziko kama familia.
Pia washikaji na pisi zenu kali, mnaweza kuamua kujitoa out mkaingia Ijumaa baada ya kazi, mkatoka jumapili usiku.
Njoo uiponye roho yako kwa shilingi 100,000 tu kwa siku.
Bustani nzuri zenye ndege, na vipepeo, zitakusahaulisha machungu yote ya mauzo ya bandari.
Ameuliza kichokozi aelezwe vizuri hapo ni wapi?Eti umesemaje?
Umaskini mbaya nyie dah. Hebu fikiria demu wako kaja kugongewa kwenue mji kama huu, atarudi kwako afuate nini tena?View attachment 2711524
View attachment 2711525View attachment 2711526
Kwanini usije kutulia kwenye hii pepo ndogo? Pepo hii yenye vyumba vitatu vya kulala ni muafaka sana kwenu, hasa mkitaka kutoka kwa mapumziko kama familia.
Pia washikaji na pisi zenu kali, mnaweza kuamua kujitoa out mkaingia Ijumaa baada ya kazi, mkatoka jumapili usiku.
Njoo uiponye roho yako kwa shilingi 100,000 tu kwa siku.
Bustani nzuri zenye ndege, na vipepeo, zitakusahaulisha machungu yote ya mauzo ya bandari.
Umefika mbali sana hadi anga la Niger!🙏😂😂😂😂Umaskini mbaya nyie dah. Hebu fikiria demu wako kaja kugongewa kwenue mji kama huu, atarudi kwako afuate nini tena?
Nikitaja location na nikaweka namba za simu watasema ni tangazo la biashara. Tukutane inboxAmeuliza kichokozi aelezwe vizuri hapo ni wapi?
Kawaida tu mkuuUmaskini mbaya nyie dah. Hebu fikiria demu wako kaja kugongewa kwenue mji kama huu, atarudi kwako afuate nini tena?
Kawaida kutokurudi au nyumba ndiyo ya kawaida?Kawaida tu mkuu
Kawaida kwamba hata yeye akiamua anaweza akampeleka demu wake hapo...Kawaida kutokurudi au nyumba ndiyo ya kawaida?
Napenda sana bustaniView attachment 2711517
Privacy ama kujitenga ni jambo jema sana. Wengi hupenda kujitenga mara baada ya kufunga ndoa, hutafuta sehemu ya uficho kwa ajili ya kwenda kutafakari safari yao nzima ya maisha. Watahitaji sehemu nzuri yenye utulivu na kila kitu kizuri.
Wengi hatuna taarifa au maarifa ya kuyafikia haya machimbo makali ya bei rahisi lakini leo nitakupa mtonyo kidogo ili siku ukitaka mafaida usipate shida.
View attachment 2711518
Fuatana nami
Hujibu pmView attachment 2711531
View attachment 2711539
View attachment 2711543View attachment 2711544View attachment 2711548View attachment 2711550View attachment 2711552
Nyumba hii ndogo yenye vyumba viwili vikubwa vya kulalà, sebule, jiko na sehemu ya kulia chakula.
Parking kubwa, bustani nzuri na utulivu wa hali ya juu, inakungoja wewe. Mna party ndogo, ya washikaji wachache, hapa ni mahali sahihi sana.
Bustani hizihizi zenye lilies,roses na chrysanthemums au "garden-love"!?Natania.Napenda sana bustani
Wee mdada wewe, Mungu anakuonaHujibu pm
Aisee weee jamaa ni mkali sana, ndio maana nakupigia masaluti kama yote dailyBustani hizihizi zenye lilies,roses na chrysanthemums au "garden-love"!?Natania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendeleeWee mdada wewe, Mungu anakuona