Uzi maalum wa machimbo makali ya bei poa kwa ajili ya Honeymooners na wapenzi wanaohitaji faragha

Uzi maalum wa machimbo makali ya bei poa kwa ajili ya Honeymooners na wapenzi wanaohitaji faragha

1648457425633.png
 
Nimeweka kambi hapa😊😊,nikipata maokoto short weekend getaway inanihusu.
 
View attachment 2711517

Privacy ama kujitenga ni jambo jema sana. Wengi hupenda kujitenga mara baada ya kufunga ndoa, hutafuta sehemu ya uficho kwa ajili ya kwenda kutafakari safari yao nzima ya maisha. Watahitaji sehemu nzuri yenye utulivu na kila kitu kizuri.

Wengi hatuna taarifa au maarifa ya kuyafikia haya machimbo makali ya bei rahisi lakini leo nitakupa mtonyo kidogo ili siku ukitaka mafaida usipate shida.

View attachment 2711518
Fuatana nami

View attachment 2711517

Privacy ama kujitenga ni jambo jema sana. Wengi hupenda kujitenga mara baada ya kufunga ndoa, hutafuta sehemu ya uficho kwa ajili ya kwenda kutafakari safari yao nzima ya maisha. Watahitaji sehemu nzuri yenye utulivu na kila kitu kizuri.

Wengi hatuna taarifa au maarifa ya kuyafikia haya machimbo makali ya bei rahisi lakini leo nitakupa mtonyo kidogo ili siku ukitaka mafaida usipate shida.

View attachment 2711518
Fuatana nami
Umeupiga mwingi! Kongole kwako!
 
View attachment 2711524
View attachment 2711525View attachment 2711526
Kwanini usije kutulia kwenye hii pepo ndogo? Pepo hii yenye vyumba vitatu vya kulala ni muafaka sana kwenu, hasa mkitaka kutoka kwa mapumziko kama familia.

Pia washikaji na pisi zenu kali, mnaweza kuamua kujitoa out mkaingia Ijumaa baada ya kazi, mkatoka jumapili usiku.

Njoo uiponye roho yako kwa shilingi 100,000 tu kwa siku.

Bustani nzuri zenye ndege, na vipepeo, zitakusahaulisha machungu yote ya mauzo ya bandari.
Eti njoo uiponye roho yako! Hahahahaha...! Nimecheka sana!
 
Back
Top Bottom