Uzi maalum wa machimbo makali ya bei poa kwa ajili ya Honeymooners na wapenzi wanaohitaji faragha

Uzi maalum wa machimbo makali ya bei poa kwa ajili ya Honeymooners na wapenzi wanaohitaji faragha

Bila location thread yako inapoteza maana.

Weka location atakayesema ni tangazo la biashara Hakuna anayekatazwa kutangaza biashara Ndio maana JF kuna jukwaa la matangazo na jukwaa la biashara.
Sitaki uzi wangu uhamishwe jukwaa. Hizi nyumba zote ziko Dar maeneo tofauti tofauti
 
Hapa wapi?

Screenshot_20230808-062324_Lite.jpg
 
Hizi sehemu aghali.....sie twapumzika kishosha guest house,mwafrika gesti,namabengo,kihesa,dodoma inn,
Ukiona kitabu ukielewi basi ujuwe hujaandikiwa wewe.

Huko Kishosha kwa mtu mwingine ni anasa pia ni ghali sana anatafuta jumba ambalo halimaliziwa kujengwa Ndio anamalizia mambo yake.

Jifunze kutuliza shobo.
 
Back
Top Bottom