Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee
I, really,love to get your acknowledgement,big fella! Won't let you down,pal!🙏😂Aisee weee jamaa ni mkali sana, ndio maana nakupigia masaluti kama yote daily
Ukiwa na vitu vizuri wanawake wanakubembeleza àiseeeHujibu pm
Hauna machimbo mikoani?Nikitaja location na nikaweka namba za simu watasema ni tangazo la biashara. Tukutane inbox
Bila location thread yako inapoteza maana.Nikitaja location na nikaweka namba za simu watasema ni tangazo la biashara. Tukutane inbox
Upo mkoa gani? Taja mkoa wako uambiwe chimbo.Hauna machimbo mikoani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa na vitu vizuri wanawake wanakubembeleza àiseee
Njombe wilayani Makete, Bulongwa hapaUpo mkoa gani? Taja mkoa wako uambiwe chimbo.
Sitaki uzi wangu uhamishwe jukwaa. Hizi nyumba zote ziko Dar maeneo tofauti tofautiBila location thread yako inapoteza maana.
Weka location atakayesema ni tangazo la biashara Hakuna anayekatazwa kutangaza biashara Ndio maana JF kuna jukwaa la matangazo na jukwaa la biashara.
Yapo Dodoma, Arusha na Mwanza. Pia na wewe unaweza ku share machimbo ya mkoani kwakoHauna machimbo mikoani?
Naweza nikakupa wazo langu halafu ukanitafutia sehemu sahihi?Nikitaja location na nikaweka namba za simu watasema ni tangazo la biashara. Tukutane inbox
😅🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jichange kidogo uifurahishe nafsi yako. We just live onceHizi sehemu aghali.....sie twapumzika kishosha guest house,mwafrika gesti,namabengo,kihesa,dodoma inn,
Hamna asiyependa vitu vizuriUkiwa na vitu vizuri wanawake wanakubembeleza àiseee
Wacha tu tukajipendeke inboxBila location thread yako inapoteza maana.
Weka location atakayesema ni tangazo la biashara Hakuna anayekatazwa kutangaza biashara Ndio maana JF kuna jukwaa la matangazo na jukwaa la biashara.
Ukiona kitabu ukielewi basi ujuwe hujaandikiwa wewe.Hizi sehemu aghali.....sie twapumzika kishosha guest house,mwafrika gesti,namabengo,kihesa,dodoma inn,
Umaskini sio mbaya tu mkuu, ni laana kabisa [emoji23][emoji23]Umaskini mbaya nyie dah. Hebu fikiria demu wako kaja kugongewa kwenue mji kama huu, atarudi kwako afuate nini tena?