Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
KaribuNaweza nikakupa wazo langu halafu ukanitafutia sehemu sahihi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNaweza nikakupa wazo langu halafu ukanitafutia sehemu sahihi?
Utani=company🙂Jichange kidogo uifurahishe nafsi yako. We just live once
Hapanshaka umekulia mazingira yalee🤑Ukiona kitabu ukielewi basi ujuwe hujaandikiwa wewe.
Huko Kishosha kwa mtu mwingine ni anasa pia ni ghali sana anatafuta jumba ambalo halimaliziwa kujengwa Ndio anamalizia mambo yake.
Jifunze kutuliza shobo.
View attachment 2711524
View attachment 2711525View attachment 2711526
Kwanini usije kutulia kwenye hii pepo ndogo? Pepo hii yenye vyumba vitatu vya kulala ni muafaka sana kwenu, hasa mkitaka kutoka kwa mapumziko kama familia.
Pia washikaji na pisi zenu kali, mnaweza kuamua kujitoa out mkaingia Ijumaa baada ya kazi, mkatoka jumapili usiku.
Njoo uiponye roho yako kwa shilingi 100,000 tu kwa siku.
Bustani nzuri zenye ndege, na vipepeo, zitakusahaulisha machungu yote ya mauzo ya bandari.
Umasikini sio hali ya kukosa vitu, mali au fedha, Umasikini ni mindset.
Ewaaaa, na tarime imetumika kuwakilisha non romantic placesAmeuliza kichokozi aelezwe vizuri hapo ni wapi?
Alafu wewe ebu nitafte nikupeleke sehem za ivi???Hapa ni wapi? Nataka nifike kisha nimtumie picha mwalimu wa Maths nimuulize kwani hapa ni wapi?
Hili chimbo lipo wapi?View attachment 2711517
Privacy ama kujitenga ni jambo jema sana. Wengi hupenda kujitenga mara baada ya kufunga ndoa, hutafuta sehemu ya uficho kwa ajili ya kwenda kutafakari safari yao nzima ya maisha. Watahitaji sehemu nzuri yenye utulivu na kila kitu kizuri.
Wengi hatuna taarifa au maarifa ya kuyafikia haya machimbo makali ya bei rahisi lakini leo nitakupa mtonyo kidogo ili siku ukitaka mafaida usipate shida.
View attachment 2711518
Fuatana nami
Duuh hizi pisi za mtandao ukizicheki na mafilta utafikiri haziendi haja. sasa ngoja mkutane face to face utaomba ardhi ipasuke🤣
Dar es SalaamHili chimbo lipo wapi?
Hapa si kwa sisi waTanganyika wa kawaida....
Inategemea na ninyi wagongaji mnamkunaje. Kama unamkuna vizuri atarudi tu kwenye kakibanda kakoUmaskini mbaya nyie dah. Hebu fikiria demu wako kaja kugongewa kwenue mji kama huu, atarudi kwako afuate nini tena?
Dah, nitafika tu siku moja
Kutotenda mapenzi ya Mungu pia ni umasikini mkubwa zaidiUmasikini sio hali ya kukosa vitu, mali au fedha, Umasikini ni mindset.
Kufuatilia maisha ya wengine ni umasikini.
Kuwaombea mabaya wengine ni Umasikini
Kuwaroga wengine ni umaskini
Twende chimbo la kwanzaAlafu wewe ebu nitafte nikupeleke sehem za ivi???