ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #81
Unafanya kazi gani?
Getho ambassador na CCM wapi na wapi?Nikiwa katika gari navaa earphone zangu za REDBAT na connect Bluetooth na kuanza kula ngoma
JE WAJUA..naiweka repeat
GHETTO AMBASSADORView attachment 1096908
Hichi anachokifanya peke yake ni ajira tosha. Ni zaidi ya kazi, sijajua anaishije.
Umepotea sana Kaka
Tusingizie majukumu kaka...salama lakini!??
Usalama upo ndugu yangu. Acha tuendelee kuifuatilia hii Filamu tuone mwisho wake.
Sijujua ndege JOHN anatumia vigezo gani kuamua matukio gani aandike na yapi aache, au anaandika yote?
Bangi ina nguvu sana!Hivi Sasa ni tisa kamili usiku ninazo option tatu ya vitu vya kufanya
-tuanze kwa kuangalia movie
-tufanye yoga poses kidogo angalau dakika 10
-tusome Bible na Kisha vitabu vingine
ndege JOHN kabla na baada ya kuanza kuvuta bangi!Unaonekana handsome gentleman wa nguvu..utakuta una career yako huko mfano mwanasheria..bila humu unaandika mambo ya kibangebange sana..
Behaviourist