Okay tuachane na 5000 ambayo nimelipa vipi kuhusu EFD maana nilichotoa ni pesa ya kuendeshea biashara yangu naweza kuclaim kwa viristi hivi vya kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeanza kufanyabiashara kabla yako. Najua kila hatua na umuhimu wa risti na marejesho ya kodi ya mwezi na mwaka. Hauweleweki naona umekwazika kudai haki ya huduma ambayo mimi nimeona pungufu kiasi fulani. Wewe kama unauwezo wa kulipa bila kutathimini thamani ya pesa na huduma hayo ni maisha yako. Hii forum imekusaidia sana kuandika tofauti na hapo.....Anza kwa kuelezea biashara zako, ambatanisha na leseni na usajili wake na weka kumbukumbu za malipo ya Kodi na hesabu zako za mapato na matumizi za kila siku ili nikupe ushauri wa kitaalaam.
Tukubaliane na wewe mimi nilichokituma sikuona uhalali wa tozo hilo.ila wao wameona umuhimu wa nilichotuma wakaona tozo halali.Kwako hakina value hiyo lakin kwao kina value Sana na ndio maana yawezekana kimefka kwa mlengwa
Ujuha ufanye wewe utuletee sisi sokomoko.Nimeanza kufanyabiashara kabla yako. Najua kila hatua na umuhimu wa risti na marejesho ya kodi ya mwezi na mwaka. Hauweleweki naona umekwazika kudai haki ya huduma ambayo mimi nimeona pungufu kiasi fulani. Wewe kama unauwezo wa kulipa bila kutathimini thamani ya pesa na huduma hayo ni maisha yako. Hii forum imekusaidia sana kuandika tofauti na hapo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
msipande Shabiby tena, kwani inaonesha mizigo hamkuiwekea alamaTuligarimika tena.
Shabibby ni Mbunge wa Gairo Morogoro amekusikia na malalamiko yako atayapeleka Bungeni yashughulikiwe.Nimekuwa mtumiaji mbobezi katika huduma za kampuni ya usafirishaji abiria ya Shabiby. Hawa jamaa kama kawaida ya makampuni mengine ya kusafirisha abiria wamejitosa katika utoaji huduma ya kusafirisha vifurushi.
Nimeshangazwa na kitendo chao cha kunitosa hela nyingi kwa kusafirisha bahasha tu. Tena bahasha ndogo mno mfano wa barua ya kupeleka kijijini kumsalimia mama kwa TSHS.5000. Posta mlaaniwe kwa kudhohofisha huduma hii.
Pamoja na kuchukuliwa 5000 yangu naendelea na masikitiko yangu kumbuka mimi ni raia safi na mpenda maendeleo huku nikiunga mkono jitahada za Serikali ya Awamu ya Tano. Hawa jamaa hawatoi Risti ya EFD. TCRA mpo wapi. Yaani bahasha ya kuweka stemp kutoka Dar mpaka Dodoma kweli 5000 na Risti hakuna nyie Shirika la Posta mlaaniwe kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti ya kutuma barua na kutuma parcel mimi nilikuwa natuma barua ambayo hata ningekukuta unaenda Dodoma ungeichukua na kuiweka mfukoni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujuha ufanye wewe utuletee sisi sokomoko.
Mfanya biashara ana muda kupoteza JF kubishana 5,000? Ujuha huo.
Mfanya biashara analalamika bahasha ya kumpelekea mama'ke kuilipia 5,000?
Unapeleka hizo bahasha mara ngapi kwa siku?
5,000 hiyo ndiyo uje kuifungulia uzi humu? Si ungeenda kushitaki polisi au TRA? Huzijuwi ofisi zao zilipo?
Ujuha ufanye wewe utuletee sisi sokomoko.
Mfanya biashara ana muda kupoteza JF kubishana 5,000? Ujuha huo.
Mfanya biashara analalamika bahasha ya kumpelekea mama'ke kuilipia 5,000?
Unapeleka hizo bahasha mara ngapi kwa siku?
5,000 hiyo ndiyo uje kuifungulia uzi humu? Si ungeenda kushitaki polisi au TRA? Huzijuwi ofisi zao zilipo?
Haki yako? Wewe ufanye biashara bila kuomba risiti stahiki, unajuwaje kama haujachapwa na tapeli tu wa stendi?Wewe HOVYO kabisa kuna watu wanadai haki zao na kusikilizwa na kushughulikiwa na wahusika kupitia magazeti ya uhuru na Mzalendo unashangaa mimi kuleta lalamiko langu hapa. Uenda akili zimekuzidi umekuwa mwehu mpaka unapoteza maana ya wapi unaweza kuleta kero yako ikasikilizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa lazima tukupe darsa.Mbona unajamba sana vipi kuna tatizo na kudai kwangu. Ukiona hakina maana ungekaa kimya hili ni jukwaa huru hauna mamlaka nalo wanaosimamia jukwaa hili nilichoandika wameona kina tija. Mtoto wa Shabiby nini maana unawashwa kila sehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe ni mfanyakazi wa hiyo kampuni? Basi jitahidini kufanyia kazi malalamiko ya mteja wenu.Hapa lazima tukupe darsa.
Iwache ujuha siku zingine.
Umetumwa? Aliyekutuma hajajuwa kama anamtuma poyoyo!
Hapa lazima tukupe darsa.
Iwache ujuha siku zingine.
Umetumwa? Aliyekutuma hajajuwa kama anamtuma poyoyo!