KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 244
- 321
Ujuha ufanye wewe utuletee sisi sokomoko.
Mfanya biashara ana muda kupoteza JF kubishana 5,000? Ujuha huo.
Mfanya biashara analalamika bahasha ya kumpelekea mama'ke kuilipia 5,000?
Unapeleka hizo bahasha mara ngapi kwa siku?
5,000 hiyo ndiyo uje kuifungulia uzi humu? Si ungeenda kushitaki polisi au TRA? Huzijuwi ofisi zao zilipo?
Hahaha uyu nadhan ni mara ya kwanza kutuma mzigopandeni gari mpeleke wenyewe.
Unadaiwa laki 1 na penati ya elfu 75 kila mwezi uliozidisha. Wahi haraka ukamalizane nao kabla deni halijawa mlima.
Alienda TRA wakampa fomu yenye control number ili akalipe laki 1 baada ya mahojiano mafupi.Mkuu kwani wana taarifa zake zozote? Endapo nimemuelewa vizuri bingwa kule TRA alichukua form tu akachikichia mitini.
Ni kama vile haina madhara ikiwa tu hawana taarifa zake zozote.
Mkuu uko serious ama?Unadaiwa laki 1 na penati ya elfu 75 kila mwezi uliozidisha. Wahi haraka ukamalizane nao kabla deni halijawa mlima.
Nmeifunga ndio maana hata hivyo sikuwa na leseni maana sikukamilisha mchakato wote manispaa!Kama biashara umeifunga hawawezi kukutafuta ukalipe deni.
Achana nao..
wakikutafuta waambie umefunga sababu ya corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
sidhani kama situation zina match ila ni kwamba nili convert TIN toka driving Licence na kuwa ya biashara kisha nikafanyiwa mahojiano mafupi tukafikia kwenye form flani ambayo walitaka nikalipe laki maana ndio biashara imeanza sijaanza kukadiriwa rasmi.Umeenda hospital ukalipia pesa ya kumuona Dr hukwenda ukakimbia!!!
Unaweza kwenda kuchukuwa majibu ya ugonjwa wako?Dr anaweza kuwa na majibu ya ugonjwa wako!?
Kalipe Deni mkuu na hakikisha umebadili iyo TN vinginevyo bado utasomeka mlipa Kodi! Kumbe adi TN ulibadili huwezi kuwa na TN ya biashara kama hufanyibiashara! Me nilifunga biashara sikubadili TN wakawa wananitumia msg za kwenda kulipa kodi nilivyo ona msg zimezidi nikaenda nikaambiwa nina daiwa nikawapa barua zao na za serekali za mtaa za maombia ya kufunga biashara wakarudisha kumbu kumbu saw a maana nao ata kama wana juwa na wewe huna kumbu kumbu za maandishi watakupiga rushwa au vyovyote vile!sidhani kama situation zina match ila ni kwamba nili convert TIN toka driving Licence na kuwa ya biashara kisha nikafanyiwa mahojiano mafupi tukafikia kwenye form flani ambayo walitaka nikalipe laki maana ndio biashara imeanza sijaanza kukadiriwa rasmi.
Mi kwa kuona ni mwisho wa mwaka nikaona siwezi lipia biashara december laki hela ya mwaka mzima halafu mwezi wa 3 nilipe tena laki ingine ya mwaka mzima.
Nikauchuna hadi mwezi wa 3 ambapo pia sikulipa baada ya mlipuko wa Corona.
Sasa hapo ndio napanga nipotezee au nifanyaje ili kuepuka soo kama kutakuwa na kufuatiliwa
Alienda TRA wakampa fomu yenye control number ili akalipe laki 1 baada ya mahojiano mafupi.
Ina maana alifanyiwa makadirio ya kodi. Labda kama alikadiliwa 0.00 Tsh kwa kuwa alienda mwishoni mwa mwaka. Lakini laki 1 inasomeka kwenye system.