KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 244
- 321
Mkuu pole sana, hata RAQEEB BUS , sijui kwakuwa wamekosa abiria kipindi hiki cha korona, ukituma percel wanachukua kimiya kimiya anayepokea wanamtolea hasira analipia siti kwa bahasha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app